Mafuta na Gesi si suala la Muungano. Kwa maana hiyo TPDC (custodian wa mafuta na gesi) si shirika la Muungano. Shell na Petrobras wanatumia model production sharing contracts za TPDC ( sina hakika kama Wizara ya Nishati Zanzibar wana hizo contracts). Kwa argument hizo, ni wazi Shell na Petrobras...
Kinadharia ni wazo zuri lakini kiuchumi je? Total na wabia wenzake wanawekeza kwa mradi na tayari wameshasema uwezo wa bomba ni kusafirisha mapipa laki mbili kwa siku. Bomba lina kipenyo cha karibu nusu mita (inch 24)....ni bomba dogo. Ukileta bomba la Sudani Kusini maana yake linatakiwa kuwa...
Taarifa yao iliyotolewa leo March 15 inaonyesha kuongezeka kwa kiasi cha akiba ya mafuta itakayopatikana (endapo watafanikiwa) katika kitalu chao cha Kilombero.Hii imekuja baada ya taarifa za kitaalamu za awali kuonyesha eneo la Kilombero lina tabia za kufanana na sehemu yalipopatikana mafuta...
Kwa hili, Tanzania ni kama imeokota dodo kwenye muarobaini. Ni mradi mkubwa na effect yake kwa uchumi itaonekana. Sidhani hata Wizara ya Nishati au TPDC waliuweka kwenye mipango yao ya 2 years (say)...unbeliavable how things can make a U-turn pretty fast
Mkuu hizo hesabu sio sahihi. Kwanza, yapaswa ujue bei ya natural gas ina-vary sana, haiko fixed ( kama bei ya mafuta ). Kuna sababu nyingi za ku-vary mojawapo ni geographic conditions (December ni winter Marekani) na ina tabia ya kufuata bei ya mafuta. Vile vile natural gas inapimwa kwa nishati...
Next ni development of resources...interesting area of discovery kwa sababu moja, ni karibu na Dar es Salaam, hii inaifanya inaleta maswali kwa miradi ya kuleta gesi Dar kutoka Mtwara( Sipingi uamuzi ), pili ni mbali na Mtwara/Lindi kwa maana ya kuunganisha na makampuni mengine kwa mradi wa gesi...
Hii habari ni ya mwaka JUZI. Nakumbuka Zitto alishaipigia kelele sana na Serikali kupitia TPDC wakajibu. Sina hakika kama mkuu uliyeanzisha uzi ulifuatilia hili kabla. Link ya Zitto ni hii Tanzania to lose up to $1b under StatOil PSA: Open these Oil and Gas Contracts na serikali wakajibu hapa...
Kwa mradi mkubwa kama huo, ambao major stakeholders ni makampuni makubwa ya mafuta na gesi duniani, lazima wana mpango kabambe na kasi ya kuuendeleza ni priority namba moja. Anachosema Waziri ni kama kocha wa Barcelona kumwambia Messi aongeze kasi akifika goli kwenye 18 ya Arsenal
Uko sahihi kwa maana ya definition but SI KWELI recoverable gas ni 55tcf. According to TPDC total initial gas in place (GIIP) ni 55tcf. Na pia, ungekua mtu wa industry ungeelewa kwamba announcement hufanyika mara tu baada ya discovery. Economics za recovery kwa offshore gas (almost 47tcf) bado...
Hapo wamefanya comparison tu. Haina maana hiyo gesi yote itaenda UK. Hata hivyo pia sio sahihi, si kiasi chote (ujazo) kitaweza kuvunwa. Kitakachovunwa kitakua kidogo ya 55tcf
Kwa mujibu wa sheria wa petroli ya mwaka jana, TPDC ana participating interest ya kila mkataba. Sina hakika kama kabla ya sheria mikataba yote iko hivyo. Lakini pia, TPDC wana vitalu viwili reserved just for them to develop. Hilo litawajenga sasa kuwa operators na siyo kama sasa ambapo ni...
Wasiwasi wako ni wa kawaida hasa kwa kitu ambacho unakifahamu lakini hujapata nafasi ya kufuatilia kwa karibu. Angalau eneo hili nalielewa kwa kiasi chake. Hoja ya makampuni ya nje kutuibia nimekujibu, auditing will do. Statoil, Petrobras na Shell sio 100% government owned, na zimefanikiwa baada...
I beg to differ. Kupata mwanga wa hoja yako ni lazima upitie na kuelewa "fiscal terms za model production sharing agreements" Nadhani zipo kwenye website ya TPDC. Cost recovery mara nyingi huwa ni challenge kwa nchi nyingi, but regular auditing ya Serikali either kupitia TPDC au MEM inaondoa...
30B dollars ni approximate project cost ya ujenzi wa liquefaction plants. Total project cost inaweza kuwa zaidi probably up to 45B kwa maana ya kazi za upstream na kusafirisha gesi mpaka onshore kwenye plants. Gharama zitaenda wapi ni wazi a big chunk zitalipwa kwa kununua teknolojia ,makampuni...
Apparently Muhongo kajibu Bungeni hoja za bandiko hili few minutes ago. Still anakaribisha wawekezaji na ameongeza kuwa miradi ya uzalishaji na uboreshaji wa miundombinu ya umeme inaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.