Ulinzi wa taifa si kulinda mipaka pekee.
Ni pia kulinda misingi inayolifanya taifa libaki taifa.
Taifa hulindwa si kwa bunduki tu, bali pia kwa:
Taasisi imara,sheria zinazoheshimiwa, mahakama huru, bunge lenye uwezo wa kuisimamia serikali, uchaguzi unaoaminika, na wananchi wanaoamini kuwa haki...
Koote sijasikia ila nimesikia mkuu wa MADHEHEBU YA KATOLIKI. Hapa kuna mawili. Aidha huyu Kombo hajui anachosema, au hajui anachosema pia.
Ya kwanza; Katoliki ni dhehebu moja tu! Yaani Takatifu Katoliki na la Mitume.
Ya pili; Ni mama wa madhehebu yoooote unayoyajua ya kikristo. Labda uwaondoe...
Ndivyo ninavyoweza kusema. Kuna vitu vingine vinatokea pengine sio kwa bahati mbaya. Aidha ni roho wa Mungu katika kinywa cha mwanadamu au ni mtu mwenyewe katika kuponya hali fulani.
CHADEMA kilipoambiwa kitoe maelezo ni kwa nini kisisimamishwa usajili, ilionekana ni pigo kali kwa demokrasia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.