Recent content by GoLC

  1. GoLC

    Asilimia 50 ya ndoa zote huvunjika kwa jambo hili...

    Wake up. Ishi misingi ya uanaume
  2. GoLC

    Asilimia 50 ya ndoa zote huvunjika kwa jambo hili...

    Sio suala la kujisifia wala kufurahia kuwa na mtizamo huo. Ukifikia levo uliyofika ni rahisi sana kuwa na woke mind. WOKE sio WAKE au WORK. WOKE
  3. GoLC

    Asilimia 50 ya ndoa zote huvunjika kwa jambo hili...

    Naimiss sana jf ya enzi zile kipindi mada zilikiwa zinachambuliwa kwa hoja haswa. Leo hii ni majanga
  4. GoLC

    Asilimia 50 ya ndoa zote huvunjika kwa jambo hili...

    Min-me ni mwanamke au mwanaume? Maana mh...!
  5. GoLC

    Asilimia 50 ya ndoa zote huvunjika kwa jambo hili...

    Ongeza pale palipopelea
  6. GoLC

    Asilimia 50 ya ndoa zote huvunjika kwa jambo hili...

    Jukwaa hili ndio kazi yake
  7. GoLC

    PostGE2025 Iran viongozi wameuliwa, miundombinu imelipuliwa na kupata hasara ya 700Trilion, ila hawajasusia maridhiano na US. CHADEMA tusigomee maridhiano

    Shida ni kuwa aidha haya matatu yanakuhusu 1. Hujui kingereza 2. Wewe ni mpambe kindakindaki 3. Iran anahofia kuendelea kupoteza
  8. GoLC

    Asilimia 50 ya ndoa zote huvunjika kwa jambo hili...

    Kweli kabisa. Tatizo wengine ni ndoa zao za kwanza tatizo wana asili ya ufitini
  9. GoLC

    Asilimia 50 ya ndoa zote huvunjika kwa jambo hili...

    Wakati fulani nimekuwa nikimtizama Joel Nanauka kwa upande hasi kwenye content zake ila sasa namuelewa. Joel kama umemsikiliza vizuri au kumsoma, hoja zake nyingi ni upande wa jamii inavyochukuliana, au vile mtu mmoja anavyomchukulia mwingine. Nyuma yake pakijaa chuki, uzandiki, roho mbaya, wivu...
  10. GoLC

    Je, ni sahihi mzazi kuuza nyumba au mali pasipo kuwaambia watoto wake?

    Swali lako bado changa, hivyo tarajia majibu mabichi
  11. GoLC

    Wosia wangu kwa wasiokuwa Waislam

    Nisaidie tu jambo moja na hakik a nitafuata unachiamini. Wale chinjachinja. Wanaojilipua, wanaoita wenzao kafir. Wasioweza kula nyama isiyochinjwa na asiye muislam, wale ni wa wapi? Ni waislam nao?
  12. GoLC

    Ushauri wenu Wakuu, Wahadhiri wanaoomba rushwa ya ngono wamemfikia mtoto wangu

    Kwanza hongera kwa kufikiwa. Si kwa ubaya bali ni dhahiri binti yetu wamo. Pili pole kwa changamoto hizo maana zisikie tu kwa jirani. Actually changamoto yoyote. Suala hapo ni kumkabili huyo fidhuli na kumueleza ukweli. Usiende ngazi za juu kwanza. Halafu subiri tena matokeo ya kijana wetu
  13. GoLC

    Mambo matatu yanayoweza aidha kukupa heshima au kukushushia hadhi

    Umeandika kilichokuwa mawazoni mwangu kabisa
  14. GoLC

    Mambo matatu yanayoweza aidha kukupa heshima au kukushushia hadhi

    Pombe inajulikana inabadili ufahamu wa mtu ndipo awe kitu kingine. Ngono, chakula na maongezi hufanywa katika utimamu wa akili na utashi
Back
Top Bottom