Wakati fulani nimekuwa nikimtizama Joel Nanauka kwa upande hasi kwenye content zake ila sasa namuelewa. Joel kama umemsikiliza vizuri au kumsoma, hoja zake nyingi ni upande wa jamii inavyochukuliana, au vile mtu mmoja anavyomchukulia mwingine. Nyuma yake pakijaa chuki, uzandiki, roho mbaya, wivu...
Nisaidie tu jambo moja na hakik a nitafuata unachiamini. Wale chinjachinja. Wanaojilipua, wanaoita wenzao kafir. Wasioweza kula nyama isiyochinjwa na asiye muislam, wale ni wa wapi? Ni waislam nao?
Kwanza hongera kwa kufikiwa. Si kwa ubaya bali ni dhahiri binti yetu wamo.
Pili pole kwa changamoto hizo maana zisikie tu kwa jirani. Actually changamoto yoyote. Suala hapo ni kumkabili huyo fidhuli na kumueleza ukweli. Usiende ngazi za juu kwanza. Halafu subiri tena matokeo ya kijana wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.