Recent content by GoLC

  1. GoLC

    JamiiForums Tanzania Andiko la mchekeshaji Shafii, limeniumiza sana mimi kama kijana

    Afanye kama 20%
  2. GoLC

    JamiiForums Tanzania ITV Tanzania huo u ‘super brand’ nani aliwapa? Je, ni tuzo ya kudumu?

    Yah. Sijawahi sikia Dr Ruto, au Dr Kagame. Au Dr Museveni
  3. GoLC

    JamiiForums Tanzania BBC: "Watengenezaji wa magari duniani wanapata shida kushindana na China"

    China wasiruhisiwe kutengeneza magari aina zote. Hawaaminiki bado
  4. GoLC

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni mnipe sifa za mgogo?

    Unaomba maelezo au unauliza swali?
  5. GoLC

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa - Ulinzi wa Taifa si kulinda mipaka pekee

    Huu uzi umeshiba. Tuupepee
  6. GoLC

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa - Ulinzi wa Taifa si kulinda mipaka pekee

    Ulinzi wa taifa si kulinda mipaka pekee. Ni pia kulinda misingi inayolifanya taifa libaki taifa. Taifa hulindwa si kwa bunduki tu, bali pia kwa: Taasisi imara,sheria zinazoheshimiwa, mahakama huru, bunge lenye uwezo wa kuisimamia serikali, uchaguzi unaoaminika, na wananchi wanaoamini kuwa haki...
  7. GoLC

    JamiiForums Tanzania Barua ya Wazi: Kutoka Kwenye Udhibiti wa Kisiasa Hadi Kwenye Ulinzi wa Nguvu Kazi na Mamlaka ya Kidijitali.

    Watch Silo Watch Silo Watch Silo Pronounce 'sailo
  8. GoLC

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Kombo: Kila nchi tuliyoenda tuliambiwa kwanini Serikali haikuja mapema, tulidanganywa kuhusu matukio ya Oktoba 29

    Koote sijasikia ila nimesikia mkuu wa MADHEHEBU YA KATOLIKI. Hapa kuna mawili. Aidha huyu Kombo hajui anachosema, au hajui anachosema pia. Ya kwanza; Katoliki ni dhehebu moja tu! Yaani Takatifu Katoliki na la Mitume. Ya pili; Ni mama wa madhehebu yoooote unayoyajua ya kikristo. Labda uwaondoe...
  9. GoLC

    JamiiForums Tanzania Uzi: Je, una uhakika una 'Vidonda vya Tumbo'? Prof. Janabi atoa ufafanuzi muhimu!

    Shida hapo ilikuwa umtaje Janabi au...? Na ofisi yake ya WHO ipo MUHAS?
  10. GoLC

    JamiiForums Tanzania Ama kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu. Ona hili vibe la Ndato Rungwe CCM wakasome

    Sio mapema. Sema misa ya kwanza
  11. GoLC

    JamiiForums Tanzania A Bless in Disguise

    Maegemeo ni mengi sana. Yalikuwepo na yatakuwepo. Ndio blessing zenyewe
  12. GoLC

    JamiiForums Tanzania A Bless in Disguise

    Ndivyo ninavyoweza kusema. Kuna vitu vingine vinatokea pengine sio kwa bahati mbaya. Aidha ni roho wa Mungu katika kinywa cha mwanadamu au ni mtu mwenyewe katika kuponya hali fulani. CHADEMA kilipoambiwa kitoe maelezo ni kwa nini kisisimamishwa usajili, ilionekana ni pigo kali kwa demokrasia...
  13. GoLC

    JamiiForums Tanzania Kwenye hi hadith ya nabii Moses/Musa na wayahudi Bibilia elichemsha

    Naona unajitekenya na kucheka. Wanasema hutaki acha!
  14. GoLC

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiburi kimeua mahusiano ya watu wengi kuliko usaliti

    Kweli
Back
Top Bottom