Recent content by GoLC

  1. GoLC

    JamiiForums Tanzania Wife Material ndio yupi?

    Hiyo ni mojawapo ila sio kigezo kikuu
  2. GoLC

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua njia sahihi ya kuuza ebooks

    Asante, nitafanyia kazi hilo
  3. GoLC

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua njia sahihi ya kuuza ebooks

    Habari za muda wakuu. Natambua uwepo wa wataalam katika eneo hili. Nataka niuze kitabu changu kwa njia ya softcopy. Naombeni kujua namna sahihi na site salama kwa ajili ya mauzo hayo ya online
  4. GoLC

    JamiiForums Tanzania Siasa ingeachwa kuwa uwanja wa mnyukano wa hoja

    Hii kwa wenzetu angalau nchi za ulaya wameweza. Suasa sio ajira kwao. Ni sehemu ya utumishi wa umma ambapo mtumishi tayari ana maisha yake nje ya siasa. Ndio maana inakuwa kwao rahisi kusikia Waziri Mkuu kajiuzulu. Ni kwa kuwa mifumo yao imeshajinenga kwamba ukiingia kwenye siasa basi isiwe...
  5. GoLC

    JamiiForums Tanzania Pesa haihitaji kelele, ukiona mtu anajitapa, mpuuzie. ‘GSM wa Katoro’ kafanya matusi aseee

    Kuna hela za kuheshimu kama. Za kina Mzee Mengi, Mo, Bakhresa, etc. Hizo ni za utafutaji kweli. Za madini ni suala lingine. Ni za ujasiri zaidi na sio kitaaluma
  6. GoLC

    JamiiForums Tanzania Nilichokiota kinfurahisha na kusikitisha. Dunia ya AI inakuja

    Hatari sana. Kama naona vile watu watajiopolea toy za synth
  7. GoLC

    JamiiForums Tanzania Nilichokiota kinfurahisha na kusikitisha. Dunia ya AI inakuja

    Ndoto ni kitu cha ajabu sana. Nimeota tunaishi katika dunia mbayo uhalisia haupo tena. Kwamba haya matumizi ya AI sio virtual pekee. Bali uhalisia kabisa. Tutaishi katika dunia ya PROMPTING. Cloning inakuja. Itakuwa ni ngumu kumtambua binafamu halisi na feki. Tunayoyaona kwenye filamu tutaishi...
  8. GoLC

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JF: Wana JF tujifunze kuvumiliana pale tunapopishana mawazo. Tupinge hoja kwa hoja, tuache matusi

    Kweli kabisa. Nakumbuka mbali. Hivi Invisible yuko wapi? Na ile midole yake ya Ficha upumbavu wako...
  9. GoLC

    JamiiForums Tanzania Tukiwa kwenye zinaa na starehe wanaume hatutaki mtuletee mamimba yenu. Huo ni ukatili kwa wanaume

    Sema nikiwa, sio tukiwa. Kwanza ujue %90 ya watoto (pamoja na wewe) ni ajali tu za kingono iwe ndani au nje ya ndoa. Mnapoanza kupanga na uzazi unajificha
  10. GoLC

    JamiiForums Tanzania HIzi herufi (L&R) zinachanganya watu sana

    Niseme tu ukweli. Kwa anayeshindwa kutambua tofauti hasa wakati wa kuandika ajiulize upya kama alivukaje primary kwenda sekondari
  11. GoLC

    JamiiForums Tanzania Haka kadude kaliwahi kukuachia historia gani ambayo hautakuja kuisahau maishani mwako?

    Hii cha mtoto. Kuna yale majiko ya coil, dah!
  12. GoLC

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    Kama ulikuwa huibi na ukamudu kujenga, basi haujitaji huzuni. Utakuwa na pato la kando ya mshahara.
  13. GoLC

    JamiiForums Tanzania Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Bahati mbaya inaonekana wewe ndio unadhibiti hayo mahusiano. Huyo bwana (sio mume) wako ni fuata upepo. Au la wewe ni kiraka katika ndoa ya mtu haiondoi ukweli wa kuwa mchepuko
  14. GoLC

    JamiiForums Tanzania Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Kama ni mwanamke, wewe ni kiraka tu. Mchepuko. Kama ni mwanaume, wewe ni buzi tu. Coward. Huna sababu ya kuigiza maisha wanayoishi wanandoa halali. Badala ya kuwaza future na umoja na familia wewe unawaza ubinafsi na mali
Back
Top Bottom