In comments shortly after the strikes, Israel's Prime Minister Benjamin Netanyahu said it would "continue to cut off the terror arm of the Iranian axis of evil until we complete the job", adding "we are only just starting with [the Houthis]".
Kifupi ndio kwanza kazi imeanza.
Karma is a bitch.
Wanajitengenezea mpango wa kufutwa kwenye ramani za ugaidi.Watu walikuwa wanawaona Hezibollah miamba isiyoshindika lakini kilichowakuta leo hii wanajuta.
Ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria.
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa - NIDA.Hii taasisi haijakidhi kabisa malengo ya uwepo wake.Ni moja ya taasisi ambayo tangu kuanzishwa kwake inaakisi matumizi mabaya ya pesa za umma.CCM hoiiii.
Wadau nina mzigo wa makaratasi yaliyotumika ikiwa ni pamoja na magazeti na majarida na vitabu kukuu.
Kwa mwenye kununua au anaefahamu wapi naweza kuyauza msaada tafadhali.
Manara mwenyewe alishasema kuwa huko utopolo wenye akili ni wawili tu.Manara na hao wenzake wanaolalamika waache ushamba naona bado wanaishi kwenye nyakati za ujima.Na yule dogo anavyokupelekesheni keshakupeni amri kesho mwende uwanjani mmejipodoa kwa bleach kama Defao,
Lugha ya Kiswahili imetohoa maneno mengi kutoka lugha nyingine toka bara ka Afika na zile zilizo nje ya bara la Afrika kutokana na mwingiliano na uwepo wa watu wenye kuzungumza lugha hizo.Neno uchwala tumekuwa tukilitumia kwa miaka mingi tu,ila neno hili limetokana na neno la lugha ya KiZulu...
Usikute Wasafi wamejipima na kukuta hawatoshi kwa shughuli hiyo wakacancel.Hivi huko Wasafi kuna watangazaji wenye weledi na ukomavu kwenye tasnia ya habari wa kuweza kuendesha mahojiano na Lisu yenye uzito na upana wa hoja zinazostahili?Acheni masihara jamani,hivi ni mtangazai yupi angeendesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.