Piga ban ya kushiriki katika mpira wa miguu kwa viongozi wa vilabu vinavyoshiriki kudumisha ushamba huu.Hii inaweza ikawa tiba ya kufutulia mbali huu ujinga.Sasa hivi wanajua watachangishana faini na maisha yataendelea.
Ina maana makamanda waikula dili na mnyama wakawaruhusu kupulizia dawa vyumba vya kubadilishia nguo vilivyopangwa kutumiwa na uto?Hebu Yanga acheni masihara huko ni kulidhalilisha jeshi letu.Masau Bwire hebu njoo unyooshe maelezo huku
In comments shortly after the strikes, Israel's Prime Minister Benjamin Netanyahu said it would "continue to cut off the terror arm of the Iranian axis of evil until we complete the job", adding "we are only just starting with [the Houthis]".
Kifupi ndio kwanza kazi imeanza.
Karma is a bitch.
Wanajitengenezea mpango wa kufutwa kwenye ramani za ugaidi.Watu walikuwa wanawaona Hezibollah miamba isiyoshindika lakini kilichowakuta leo hii wanajuta.
Ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria.
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa - NIDA.Hii taasisi haijakidhi kabisa malengo ya uwepo wake.Ni moja ya taasisi ambayo tangu kuanzishwa kwake inaakisi matumizi mabaya ya pesa za umma.CCM hoiiii.
Wadau nina mzigo wa makaratasi yaliyotumika ikiwa ni pamoja na magazeti na majarida na vitabu kukuu.
Kwa mwenye kununua au anaefahamu wapi naweza kuyauza msaada tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.