Recent content by GOKILI

  1. GOKILI

    Shikamoo kilimo

    Huku niliko bado najipa imani japo karoho kananidunda kuwa imeisha
  2. GOKILI

    Israel Imeanza Kutoa Kichapo kwa Magaidi wa Hoath wa Yemen

    In comments shortly after the strikes, Israel's Prime Minister Benjamin Netanyahu said it would "continue to cut off the terror arm of the Iranian axis of evil until we complete the job", adding "we are only just starting with [the Houthis]". Kifupi ndio kwanza kazi imeanza.
  3. GOKILI

    Yemen iliwaonya kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama kabisa

    Karma is a bitch. Wanajitengenezea mpango wa kufutwa kwenye ramani za ugaidi.Watu walikuwa wanawaona Hezibollah miamba isiyoshindika lakini kilichowakuta leo hii wanajuta. Ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria.
  4. GOKILI

    TYPE-C FLASH FOR SALE

    Weka mawasiliano ndugu
  5. GOKILI

    PreGE2025 Kuzorota kwa Huduma/Shirika gani litakufanya usiipigie tena kura CCM?

    Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa - NIDA.Hii taasisi haijakidhi kabisa malengo ya uwepo wake.Ni moja ya taasisi ambayo tangu kuanzishwa kwake inaakisi matumizi mabaya ya pesa za umma.CCM hoiiii.
  6. GOKILI

    Mwaka 2025 nitafungua kesi dhidi ya Halima Mdee na wenzake kwa kulipwa mishahara wakati wahakustahili kuwa Wabunge kutokana na kufukuzwa uanachama

    Ifike mahali watanzania tukatae kuburuzwa.Hata Spika wa bunge liliopita na Spika wa bunge la awamu hii ikabidi wawajibishwe kwa kuisigina katiba.
  7. GOKILI

    Wapi wanakonunua karatasi kwa ajili ya recycling?

    Wadau nina mzigo wa makaratasi yaliyotumika ikiwa ni pamoja na magazeti na majarida na vitabu kukuu. Kwa mwenye kununua au anaefahamu wapi naweza kuyauza msaada tafadhali.
  8. GOKILI

    Tuchambue Kitita Madai cha Huduma ya Afya cha NHIF 2023.

    Hapo kwenye 'NINI KIFANYIKE' nakazia kwenye pointi namba 4 na nashauri wahusika wa ubadhirifu huo wakamatwe na kushtakiwa.
  9. GOKILI

    Kama wakati ule waliona Senzo alikuwa sahihi sioni sababu ya Manara kuanza kutoa mapovu ya kutaka kocha afukuzwe

    Manara mwenyewe alishasema kuwa huko utopolo wenye akili ni wawili tu.Manara na hao wenzake wanaolalamika waache ushamba naona bado wanaishi kwenye nyakati za ujima.Na yule dogo anavyokupelekesheni keshakupeni amri kesho mwende uwanjani mmejipodoa kwa bleach kama Defao,
  10. GOKILI

    Hivi neno "Uchwara" ni Lissu alilianzisha?

    Lugha ya Kiswahili imetohoa maneno mengi kutoka lugha nyingine toka bara ka Afika na zile zilizo nje ya bara la Afrika kutokana na mwingiliano na uwepo wa watu wenye kuzungumza lugha hizo.Neno uchwala tumekuwa tukilitumia kwa miaka mingi tu,ila neno hili limetokana na neno la lugha ya KiZulu...
  11. GOKILI

    Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

    Usikute Wasafi wamejipima na kukuta hawatoshi kwa shughuli hiyo wakacancel.Hivi huko Wasafi kuna watangazaji wenye weledi na ukomavu kwenye tasnia ya habari wa kuweza kuendesha mahojiano na Lisu yenye uzito na upana wa hoja zinazostahili?Acheni masihara jamani,hivi ni mtangazai yupi angeendesha...
  12. GOKILI

    Maneno yafuatayo utayasikia kusini mwa Tanzania pekee

    Great Thinkers kwa kweli ?!
Back
Top Bottom