Recent content by Gogoo

  1. G

    Maajabu ya bongo movie..

    Inashangaza hata filam zingine huwezi angalia na wwt. Acha filam hata matangazo ya biashara. Jaribu kusikiliza tangazo la kondom. Mara helement oh nava sasa nava, mara ah baby hata kondom unita helmet?. Hilo likitolewa nauko wwt hasa mabint kuna maadili hapo. Hahusika wapo wapo tu
  2. G

    Iringa: Mtoto huyu akutwa ametupwa porini eneo la Mafifi

    Mbn unataka kupoteza maana ya hii mada?. Au ni ww na ndo ulikua unatekeleza mashart ya babu?. UTAJIRI NI SHIIIDAAA.
  3. G

    Shabiki wa Yanga anaye lialia hovyo

    huo ni ugonjwa wake hata shuleni ilikua tabia yake akikosa uji
  4. G

    Hospitali ya wilaya ya KONDOA yavamiwa

    kumbe uhamisho ni adhabu?mtumishi kafisadi mkurugenzi anu mhamisha akafisadi kwingine
  5. G

    Waandishi wa magazeti ya Rai na Mtanzania wapanda kizimbani kwa rushwa

    habar zimekaa kiuzushi na udaku wa kisiasa.
  6. G

    PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

    Hiitabia ya kuhusicha kifo na mambo yenu inaumiza sana wanafamilia na jamii kwa ujumla. Jaribuni kutafuta umaarufu kwa siasa zenu. Acheni kuwa kumbusha watu maumivu ya kuwaulia wapendwa/wategemezi wao. Au kwenu sherehe sio
  7. G

    Mali za Kijerumani

    Achane na uzushi huo mikoa ya kanda ya ziwa nimeshuhudi watu wameshimba kwenye milima, na kupasua miamba. Kwa bahati mbaya hata wengine hufia huko kwa kuangukiwa na miamba wengine kukosa hewa. Kuna mtu alinunua mlima akida kuna hz mali wamechima miaka 2 mpk ss wamekua kama mazuzu
  8. G

    Je wajuwa siri ya hoja ya uraia wa nchi mbili?

    raha kweli kuweza kuchagua raisi tz na usa akikuzingua moja unahamia kwingine
  9. G

    WASIWASI: Dawa aina ya PANADOL inaua?

    Poa mi nakupa pole
  10. G

    WASIWASI: Dawa aina ya PANADOL inaua?

    Hao ni wadogo zangu huwa kumbuki mlichezanao tiyari bado, kumbe ulishapoteza kumbukumbu?
  11. G

    WASIWASI: Dawa aina ya PANADOL inaua?

    Utakua umeelewa ila ulitaka tujue kuwa upo kwenye mjadala huu. Tungoje atuletee vielelezo
  12. G

    Mtoto wa Simba awaelekeza walinzi hadi Kwenye mzoga wa mamake

    . Kama ni hivyo mbn madume hua watoto madume nakuacha watoto majike?. Ina maana akikua anampidua baba na kuanza kumpanda mama. Tafiti na hilo tujuze.
  13. G

    Mbunge Said Amour Arfi anusurika kipigo cha wananchi wake, Polisi wamuokoa

    . Afadhali ww tupe ukweli wengine tumezisoma tu. Hatuja amini ww tupe ilivyo kua
  14. G

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne 5 Agosti 2014, Mjadala wa Bunge Maalum la Katiba

    Labda nichuki binafsi mbna tv/radio station nyingine zinarusha. Labda useme amekiuka maagizo/maelekezo waliyopewa, kipi kiulzwe na nani aalikwe. Kama wamekiuka hilo ana haki.
  15. G

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne 5 Agosti 2014, Mjadala wa Bunge Maalum la Katiba

    . Itafikia mahali Itatungwa kanuni mkikutana njiani wasiruhusiwe kuongea na mtu zaidi ya salamu
Back
Top Bottom