Aisee huyu jamaa Innocent ni mshenzi sana...tapeli sana ameshawahi kuwaliza walimu kama 20 ivi kila mmoja alitoa M.1 kwa ahadi ya mikopo ya bei nafuu na viwanja..hafai..hafai..watu wawe makini sana hasa watafutaji wa ajira..!!
Aisee hata mimi mtoto wangu anamatatizo sawa na yako..nimehangaika nae sana..naomba akikupa maelekezo ni PM na mimi..dogo anateseka sana please mkuu..!!
Ni kweli mkuu..Mimi Tanesco waliniambia baada ya kumaliza hizo 50 unit unatakiwa ununue umeme wa zaidi ya elfu 35 ndo itakubali otherwise huwezi kununua umeme..maana kwamba zile 50 units is not a bonus..unazilipia pia
Sawa sawa..coz haina maana kukesha barabarani mwisho wa siku hawapigi wala hawalindi kura zao..ni wastage of time and money..ngoja tusubili hiyo October,2015 mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.