MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Nimejaribu kupitia orodha ya waliochaguliwa kugombea Ubunge kupitia CCM Mwaka huu, Ni zaidi ya 60% unaenda kupoteza viti hivi hivi. Sababu ni hizi hapa Chini!
1.Wengi wa wagombea ni wale wa zamani ambao wananchi wameshachoka hapa zinapotea kura kwa-15%.
2.Baadhi yao wamepita kiubabe Ubabe kwa kutumia rushwa ambapo ni makosa yale yale ya 2010-18%.
3.Kila kona ya nchi wananchi wanalalamika mchakato hukua wa halali-10%.
4.Kuna baadhi ya mikoa na wilaya hazina wenyeviti wa chama wameshabwa manyanga-08%.
5.Vyama vyote vya UKAWA kupeleka kura zao kwa mgombea mmoja tu huku CCM kura zao zikijitegemea-20%.
6.Lowassa Kuhamia UKAWA pamoja na viongozi wengine wa CCM kunaongezea UKAWA nguvu-20%.
Tuache ushabiki tusubiri tarehe 25 October turudi tena kufanya tathmini hapa.
1.Wengi wa wagombea ni wale wa zamani ambao wananchi wameshachoka hapa zinapotea kura kwa-15%.
2.Baadhi yao wamepita kiubabe Ubabe kwa kutumia rushwa ambapo ni makosa yale yale ya 2010-18%.
3.Kila kona ya nchi wananchi wanalalamika mchakato hukua wa halali-10%.
4.Kuna baadhi ya mikoa na wilaya hazina wenyeviti wa chama wameshabwa manyanga-08%.
5.Vyama vyote vya UKAWA kupeleka kura zao kwa mgombea mmoja tu huku CCM kura zao zikijitegemea-20%.
6.Lowassa Kuhamia UKAWA pamoja na viongozi wengine wa CCM kunaongezea UKAWA nguvu-20%.
Tuache ushabiki tusubiri tarehe 25 October turudi tena kufanya tathmini hapa.