Chief utakuwa sio mwenyeji kanda hiyo. Tunduma ndo njia panda ya Sumbawanga na Zambia kama unatokea Mbeya tena barabara mkeka umenyoka sijawahi kuona
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Shule yangu
Nilikuwa hapa 2010-2012 wakati huo ilikuwa ni moja ya shule bora sana kwa mwanza.
Imekutwa na nini tena. Wanafunzi waliandaliwa vizuri sana wakati huo. Mpaka ukanyage kidato cha nne ulipaswa kuwa umeivaa vizuri
Tupo tu kunakucheki tunasema hiiii bhagosha.
Unamanisha Bunda bado hatuna uelewa wa jf
Balili, nyamakokoto, kabarimu, chilinge, nyasura, mpaka migungani tunapajua
We jianike tu
Ni kweli lakini maisha ndo yanataka hivyo hata kama ungekuwa wewe lazima uangalie kesho yako. Nature ya binadamu yoyote ni ubinafsi so hata kwenye hili swala la Fei ni kuwa kila upande umekuwa na ubinafsi kwani Fei amejiangalia yeye na familia yake na sisi wananchi tunajiangalia sisi wenyewe...
Issue ya Fei toto inanikumbusha nilivyoamua kuacha kazi.
Jpili mchana niko nyumbani taarifa ya ajira mpya ikatoka, nikaingia mtandaoni kucheck.
Katika majina jina langu pia lilikuwemo kwa haraka haraka nilishindwa kujua kama nifurahi au nisikitike.
Why??
Kwa kipindi hicho nilikuwa muajiriwa wa...
Hii ni changamoto hasa kwa familia ambayo bado inajipanga kimaisha, Unakuta asilimia kubwa ya kipato inaishia kwenye mahitaji ya nyumbani.
Mama wa watoto wangu huwa namwambia kwa uharibifu huu isingekuwa watoto kuna wakati nigegoma kutoa matumizi kabisa.
Mkuu ifike wakati tuache kushauri vitu ambavyo sio field yetu. Kwa ulichoandika hapa nina uhakika 100% hauko kwenye field ya medical.
Clotrimazole and whitefield zote ni antifungal
Hydrocortisone ni antihistamine and anti inflammatory
Ni kwa vipi hizo dawa ziko associated na dalili ya ugonjwa...
Hizo sio exactly hesabu za ujenzi
Nimejaribu kuonesha baadhi ya hesabu nilizoweza kuandika ila sio zote
Fundi alikuwa analipwa kwa awamu
Hiyo laki 4 ni moja ya malipo aliyolipwa fundi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.