Issue ya Feitoto inanikumbusha nilivyoamua kuacha kazi

godzilah

Member
Aug 3, 2016
34
165
Issue ya Fei toto inanikumbusha nilivyoamua kuacha kazi.
Jpili mchana niko nyumbani taarifa ya ajira mpya ikatoka, nikaingia mtandaoni kucheck.

Katika majina jina langu pia lilikuwemo kwa haraka haraka nilishindwa kujua kama nifurahi au nisikitike.
Why??
Kwa kipindi hicho nilikuwa muajiriwa wa Company moja kubwa ya kihindi na inalipa vizuri hakuna longolongo lakini pia kulikuwa na changamoto kiasi chake.

Kwahiyo baada ya kupata taarifa hii ya ajira serikalini nilipata mchanganyiko wa hisia ikiwa niache kazi private niende serikalini au niendelee kupiga kazi private.

Simu ni nyingi kila mtu anaongea lake wengine wanashauri nenda serikalini security ya kazi ni kubwa, wengine baki upige kazi hapa kuna hela ukilinganisha na serikalini.

Jtatu nilifika kazini story zilikuwa nyingi lakini mimi nilijipa utulivu maana ni kama tayari nishafanya maamuzi yangu binafsi so niliwasikiliza tu basi.

Uamuzi niliuchukua ni kwenda serikalini kwa sababu hivi;
  • Job security- Kazi ya serikali haiishi kirahisi tofauti na private
  • Wakati nafanya nao kazi ni kama walinichukulia poa maana mara kibao niliomba nipewe mkataba wa kudumu lakini walikuwa wakinizungusha tu bad enough boss aliposikia nimepata kazi akaniita ofisini akaniambia nisiondoke wanipe mkataba so nikaona kumbe hili swala lilikuwa linawezekana Ila tu hawakuona umuhimu.

-Nilipiga kazi sana lakini kuna wakati niliona kabisa sipewi thamani yangu sababu ni kama wanaona sina option nyingine .

- Sikuona nafasi ya kukua kitaaluma maana ile kazi ilikuwa 24 7 days inakuhitaji kila wakati na ukionekana unapiga mishe zingine ni kama unahujumu company.

Lastly pia sehemu yangu mpya ya kazi ilinishawishi maana tasisi ilikuwa mpya so niliona itanipa nafasi ya kujijenga zaidi, Also ni mkoa ambao naujua vizuri so sio ngumu kuzoea ukilinganisha na kule private ambako ni pembezone mwa nchi and was not my favourite Region.

Pamoja na sababu zingine nyingi niliamua kuondoka japo kwa masikitiko makubwa sana kwani nishakuwa pale for 3yrs Nina marafiki na mipango mingi kama unavyojua kazi as serikali unaomba bila kuwa na uhakika wa kupata so ukipata inakuwa kama ghafla sana.

Swala na Fei Toto na Yanga nimenikumbusha issue yangu na Boss wangu. Fei amekuwepo yanga for years lakini ni kama yanga walimchukulia poa au walimuona mtoto wa nyumbani hawezi kuondoka but sisi ni binadamu always kufanya evaluation ya maisha yako 10yrs to come ni muhimu. Saivi Fei alikuwa anaimbwa sana but 10yrs to come hatakuwa Fei huyu huyu so ni wakati sahihi wa yeye kuamua hatma ya maisha yake.

Binafsi mimi ni mwananchi lia lia but kwa hili Fei acha aende kama huko ndo kuna kesho yake iliyo bora. But ni vizuri pande zote 3 I mean Fei, Yanga na Azam wakae wamalizane kwa busara na hekima maana kuna leo na kesho.

All da best Fei Toto wananchi tutakukumbuka daima ulikuwepo kila ulipohitajika ku rescue situation.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Issue ya Fei toto inanikumbusha nilivyoamua kuacha kazi.
Jpili mchana niko nyumbani taarifa ya ajira mpya ikatoka, nikaingia mtandaoni kucheck.

Katika majina jina langu pia lilikuwemo kwa haraka haraka nilishindwa kujua kama nifurahi au nisikitike.
Why??
Kwa kipindi hicho nilikuwa muajiriwa wa Company moja kubwa ya kihindi na inalipa vizuri hakuna longolongo lakini pia kulikuwa na changamoto kiasi chake.

Kwahiyo baada ya kupata taarifa hii ya ajira serikalini nilipata mchanganyiko wa hisia ikiwa niache kazi private niende serikalini au niendelee kupiga kazi private.

Simu ni nyingi kila mtu anaongea lake wengine wanashauri nenda serikalini security ya kazi ni kubwa, wengine baki upige kazi hapa kuna hela ukilinganisha na serikalini.

Jtatu nilifika kazini story zilikuwa nyingi lakini mimi nilijipa utulivu maana ni kama tayari nishafanya maamuzi yangu binafsi so niliwasikiliza tu basi.

Uamuzi niliuchukua ni kwenda serikalini kwa sababu hivi;
  • Job security- Kazi ya serikali haiishi kirahisi tofauti na private
  • Wakati nafanya nao kazi ni kama walinichukulia poa maana mara kibao niliomba nipewe mkataba wa kudumu lakini walikuwa wakinizungusha tu bad enough boss aliposikia nimepata kazi akaniita ofisini akaniambia nisiondoke wanipe mkataba so nikaona kumbe hili swala lilikuwa linawezekana Ila tu hawakuona umuhimu.

-Nilipiga kazi sana lakini kuna wakati niliona kabisa sipewi thamani yangu sababu ni kama wanaona sina option nyingine .

- Sikuona nafasi ya kukua kitaaluma maana ile kazi ilikuwa 24 7 days inakuhitaji kila wakati na ukionekana unapiga mishe zingine ni kama unahujumu company.

Lastly pia sehemu yangu mpya ya kazi ilinishawishi maana tasisi ilikuwa mpya so niliona itanipa nafasi ya kujijenga zaidi, Also ni mkoa ambao naujua vizuri so sio ngumu kuzoea ukilinganisha na kule private ambako ni pembezone mwa nchi and was not my favourite Region.

Pamoja na sababu zingine nyingi niliamua kuondoka japo kwa masikitiko makubwa sana kwani nishakuwa pale for 3yrs Nina marafiki na mipango mingi kama unavyojua kazi as serikali unaomba bila kuwa na uhakika wa kupata so ukipata inakuwa kama ghafla sana.

Swala na Fei Toto na Yanga nimenikumbusha issue yangu na Boss wangu. Fei amekuwepo yanga for years lakini ni kama yanga walimchukulia poa au walimuona mtoto wa nyumbani hawezi kuondoka but sisi ni binadamu always kufanya evaluation ya maisha yako 10yrs to come ni muhimu. Saivi Fei alikuwa anaimbwa sana but 10yrs to come hatakuwa Fei huyu huyu so ni wakati sahihi wa yeye kuamua hatma ya maisha yake.

Binafsi mimi ni mwananchi lia lia but kwa hili Fei acha aende kama huko ndo kuna kesho yake iliyo bora. But ni vizuri pande zote 3 I mean Fei, Yanga na Azam wakae wamalizane kwa busara na hekima maana kuna leo na kesho.

All da best Fei Toto wananchi tutakukumbuka daima ulikuwepo kila ulipohitajika ku rescue situation.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Fei katupiga kwenye mshono sisi wananchi.
 
Hiyo ni kawaida ya waajiri wote..ukiwa ndani hawakuthamini..unaweza kuwa wapiga kazi vizuri lakini maslahi kiduchu..wanaweza mchukua mtu sehemu nyingine kwa. Kazi hiyo hiyo unayoifanya na wakampa mshahara mara mbili ya wanaokuoatia..au ukiwaambia naondoka ndio wanajifanga ku counter offer..muda wote walikuwa wapi.
Sio kw feisal tu..wachezaji wote wanapaswa kutambua maisha ya soka ni mafupi Sana..so mpira ukikubali na ukiwa juu ni wakati sahihi wa kuvuna ..usiendekeze mapenzi na klabu na mashabiki..Never fall in love with your employer..cause hata yeye hakupendi.
Wako wapi kina chuji..lunyamila..boban na mastaa wengineo? Wapi ngasa?
Viongozi najua watamwekea zengwe na kujaribu kumchonganisha na mashabiki Ili kuficha udhaifu wao..unakaaje na mchezaji kama feisal alafu humlei kama yai..hivi hawaoni psg na mbape? Mpige mshahara mnono..mwekeee maslahi kibao Ili hata mpinzani akija kuchungulia mkataba anarudi nyuma..na inauma zaidi pale unapoona una jina kubwa na una msaada kwa timu ila wachezaji wengine kisa wametoleaa nje ya nchi wanalipwa mara nne au tano yako..feisal analipwa mil 4 wakati utakuta kuna mchezaji hapo anachukua 10mil +
Vilabu vya bongo jifunzeni kuthamini wachezaji wazawa.
 
Fei katupiga kwenye mshono sisi wananchi.
Ni kweli lakini maisha ndo yanataka hivyo hata kama ungekuwa wewe lazima uangalie kesho yako. Nature ya binadamu yoyote ni ubinafsi so hata kwenye hili swala la Fei ni kuwa kila upande umekuwa na ubinafsi kwani Fei amejiangalia yeye na familia yake na sisi wananchi tunajiangalia sisi wenyewe hatuangilii hatma ya Fei baadae.

Bad enough kwenye maisha kuna vitu huwa vinakuja mara moja so ikitokea nafasi ya kukuweka pazuri maishani grab it.
Kumbuka issue ya Ajibu kutakiwa na Mazembe also Ngasa kuna kipindi alipata shavu akatosa. Wako wapi sasa nani anawajali, Hata mashabiki tuliokuwa tuwafagilia tushauza fagio.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Issue ya Fei toto inanikumbusha nilivyoamua kuacha kazi.
Jpili mchana niko nyumbani taarifa ya ajira mpya ikatoka, nikaingia mtandaoni kucheck.

Katika majina jina langu pia lilikuwemo kwa haraka haraka nilishindwa kujua kama nifurahi au nisikitike.
Why??
Kwa kipindi hicho nilikuwa muajiriwa wa Company moja kubwa ya kihindi na inalipa vizuri hakuna longolongo lakini pia kulikuwa na changamoto kiasi chake.

Kwahiyo baada ya kupata taarifa hii ya ajira serikalini nilipata mchanganyiko wa hisia ikiwa niache kazi private niende serikalini au niendelee kupiga kazi private.

Simu ni nyingi kila mtu anaongea lake wengine wanashauri nenda serikalini security ya kazi ni kubwa, wengine baki upige kazi hapa kuna hela ukilinganisha na serikalini.

Jtatu nilifika kazini story zilikuwa nyingi lakini mimi nilijipa utulivu maana ni kama tayari nishafanya maamuzi yangu binafsi so niliwasikiliza tu basi.

Uamuzi niliuchukua ni kwenda serikalini kwa sababu hivi;
  • Job security- Kazi ya serikali haiishi kirahisi tofauti na private
  • Wakati nafanya nao kazi ni kama walinichukulia poa maana mara kibao niliomba nipewe mkataba wa kudumu lakini walikuwa wakinizungusha tu bad enough boss aliposikia nimepata kazi akaniita ofisini akaniambia nisiondoke wanipe mkataba so nikaona kumbe hili swala lilikuwa linawezekana Ila tu hawakuona umuhimu.

-Nilipiga kazi sana lakini kuna wakati niliona kabisa sipewi thamani yangu sababu ni kama wanaona sina option nyingine .

- Sikuona nafasi ya kukua kitaaluma maana ile kazi ilikuwa 24 7 days inakuhitaji kila wakati na ukionekana unapiga mishe zingine ni kama unahujumu company.

Lastly pia sehemu yangu mpya ya kazi ilinishawishi maana tasisi ilikuwa mpya so niliona itanipa nafasi ya kujijenga zaidi, Also ni mkoa ambao naujua vizuri so sio ngumu kuzoea ukilinganisha na kule private ambako ni pembezone mwa nchi and was not my favourite Region.

Pamoja na sababu zingine nyingi niliamua kuondoka japo kwa masikitiko makubwa sana kwani nishakuwa pale for 3yrs Nina marafiki na mipango mingi kama unavyojua kazi as serikali unaomba bila kuwa na uhakika wa kupata so ukipata inakuwa kama ghafla sana.

Swala na Fei Toto na Yanga nimenikumbusha issue yangu na Boss wangu. Fei amekuwepo yanga for years lakini ni kama yanga walimchukulia poa au walimuona mtoto wa nyumbani hawezi kuondoka but sisi ni binadamu always kufanya evaluation ya maisha yako 10yrs to come ni muhimu. Saivi Fei alikuwa anaimbwa sana but 10yrs to come hatakuwa Fei huyu huyu so ni wakati sahihi wa yeye kuamua hatma ya maisha yake.

Binafsi mimi ni mwananchi lia lia but kwa hili Fei acha aende kama huko ndo kuna kesho yake iliyo bora. But ni vizuri pande zote 3 I mean Fei, Yanga na Azam wakae wamalizane kwa busara na hekima maana kuna leo na kesho.

All da best Fei Toto wananchi tutakukumbuka daima ulikuwepo kila ulipohitajika ku rescue situation.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha nami kwa muhindi. Baada ya kupata uhakika wa kazi serikalini (mkataba nilikuwa bado sija sinya ) nilipigiwa simu kuomba taarifa za mwajri wangu (Muhindi) ili kama wana lolote wamuulize. Nikamfuata HR nikamweleza juu ya jambo langu akaelewa na akakaa kimya vile ni mbongo mwenzangu.
Siku moja kuna mteja aliniita nikamfanyie kazi yake wakati muda wa kazi ulikuwa umeisha na akaniahidi atanitoa. Hata hivyo sikwenda na yule mteja akakasirika na kunisemea mbaya kuwa nilimuomba rushwa. Wahindi wakapanga kunipiga chini. Walivyofikisha suala kwa HR akawambia huyu amepata ajira serikalini tukimpiga chini tutamlipa. Wahindi walikuwa wapole na kuanza kunichukulia mtu sasa na wakanipa gari ya kutembelea na kuniboreshea maslahi but siku ilivyofika nikaondoka.
Haya mambo ni kawaida sana.
 
Kazi ya tembo mshahara sisimizi, hata mimi siwezi jiuliza mara mbili.kwahyo viongozi wa yanga wanamtafta wamwambie nini sasa feisal wakati walikuwa wanamchukulia poa. Hovyo kabisaa
 
Kumbuka mkataba wa ajira ni tofauti na football mkuu, kazi naweza kuamka asbuhi nikawaambia nimeacha kazi ama kuwa mtoro siku nne mfululizo bilq taarifa tayari mkataba unavunjika. Lkn mpirani kunataratibu zake azifuate aondoke tu maana kila sehemu kunautaratibu wake. Mfano alichokifanya klabu akimfanyia mchezaji yupo likizo akapewa barua mkataba wako umevunjwa bila mazungumzo yoyote tutalaum sana clabu. Sheria zifutwe tu.
 
Back
Top Bottom