Hakunaga msemo wa hvo, Ila Kwa kiasi inaweza ikawa kweli kulingana na mtazamo wa mtu binafsi, Japo sikuzote tunasema roho mbaya haijengi ukitaka kufanikiwa unapaswa uwe na Roho nzuri yakusaidia maana asaidiae husaidiwa pia "Kuna huu usemi unasema Muosha huoshwa" Ishi hapa
Kwa maradhi uliyoorodhesha hapo moja kwa moja n maradhi almaarufu kwa matajiri na sio watu wa hali ya chini/kati,,,, N heri serikali iangalie uwezekano wa kupunguza kodi kwenye sukari ila sio kwenye pombe......Unless otherwise wananchi wataendeleza biashara za magendo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.