Habari yako mkuu.
Biashara ya nazi ina faida yake endapo utapata mtu mwaminifu wa kukusaidia kununua nazi zilizokomaa vizuri . Ukipata nazi nzuri unaweza nunua 650 au 700 ukauza 1200-1400 kwa bei ya jumla.
Vile vile ina hasara zake maana ukiwa huna uzoefu na nazi, unauziwa nazi zilizovundikwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.