Recent content by Godson97

  1. Godson97

    Nahisi mke mwenzangu anachepuka

    We mkorofi[emoji23][emoji23][emoji23]
  2. Godson97

    Sijajua mwanamke wangu ana majini au ni mwoga wa kunyanduliwa, busara zenu ni muhimu sana hapa

    Mwambie akapime PID. Hiyo ya kusikia maumivu katika sex kwa mwanamke ni dalili mojawapo.
  3. Godson97

    Biashara ya nazi Kilwa

    Habari yako mkuu. Biashara ya nazi ina faida yake endapo utapata mtu mwaminifu wa kukusaidia kununua nazi zilizokomaa vizuri . Ukipata nazi nzuri unaweza nunua 650 au 700 ukauza 1200-1400 kwa bei ya jumla. Vile vile ina hasara zake maana ukiwa huna uzoefu na nazi, unauziwa nazi zilizovundikwa...
  4. Godson97

    Utundu wangu unaniweka matatani

    [emoji477]️ ya moto
  5. Godson97

    Mold/flemu za kutengenezea mikanda ya gypsum

    Kama upo Dar Es Salaam naweza kukusaidia nikakuonesha chimbo kwa bei nzuri. Call me on 0687756221.
  6. Godson97

    Naomba kujuzwa gharama ya kipimo cha endoscopy

    Hicho kipimo cha endoscopy pale regency hospital upanga ni 275000Tsh na consultation ya doctor ni 38000.
Back
Top Bottom