Isaya wa njombe
Senior Member
- Apr 2, 2023
- 181
- 325
Habari ya asubuhi,
Nataka kupata uzoefu wa biashara ya. Nazi kuna jamaa yangu alinambia kule Kilwa nazi bei yake ni Tsh. 650-700.
Natamani nifanye biashara hiyo nikachukue kwa bei ya jumla nilete DSM hivyo nashani humu kuna wazoefu naomba kama wanaweza kunipa ABC za hasara na faida.
Nataka kupata uzoefu wa biashara ya. Nazi kuna jamaa yangu alinambia kule Kilwa nazi bei yake ni Tsh. 650-700.
Natamani nifanye biashara hiyo nikachukue kwa bei ya jumla nilete DSM hivyo nashani humu kuna wazoefu naomba kama wanaweza kunipa ABC za hasara na faida.