Pole sana, katk mapenzi cku zote anaependa ndio huumia, lazm ukubal kuumia, inauma sana pale thaman ya upendo haithaminiw na m2 unaempenda, hata mm nna tatz kama hilo, nakushaur fanya kama vle kumpotezea tu, usimpgie wala ku2ma sms, futa na namba yake i hope utamsahau na utakuwa normal tu...