Wasalam wana jamvi,
Takribanni wiki moja imepita tangu tangazo kwa vyombo vya habari ilipotolewa na ofisi ya mkurugenzi wa jiji la Arusha kuhusu kuwasimamisha kazi wakuu wa shule, kwa kuwa imesemekana kuwa katika shule hizo wamo wanafunzi hewa.
Sasa maswali ya kujiuliza...
Je, ni uchunguzi...
ukisha okoka na kumkubali Yesu kuwa ni mwokozi wako na kuacha dhambi utaelewa, sasa hivi uko gizani, tena totoro. mambo ya kiroho yanatokana na ukiwa kiroho wewe unaangali israel kimwali, yaani kisiasa na kidini.
Kesho endelezeni hizo siasa zenu za ukanda na ukabila na udini msizungumzemiaka 50 watanzania waliwaacha mnataka kuwaaminisha nini wawaongezee miaka mingine.
Dawa ya wanafunzi wanaojilengesha kwako ni kuwachana live mbele ya wenzio, kufanya kazi inayokuhusu, kuwa na huruma na watoto wako maana utakavyowafanyia hao wanafunzì ndipo wa kwako watafanyiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.