Hizo propaganda za private hospital
Hata hivyo ile ni hospital ya rufaa uwezi ukafananisha na hizo hospital zinazotibu UTI kama kitengule, regency, rabinsia etc
Ambazo Daktari Dingwall mpaka atoke Mloganzila ndio ukamuone
Mzee vifaa vilivyopo hapo hakuna private hospital yoyote Tanzania vinavweza kuwa navyo
Madaktari wengi ni specialist na sio physician kama tunavyodhani
Hizo unazosikia ni siasa mzee, Mimi napeleka ndugu zangu pale Mara nyingi
Huwezi fananisha huduma za Mloganzila na hospital coyote...
Kama nimemsikiliza vizuri
Moja kati ya changamoto za mradi ilikuwa
project communication management haikuwa well planned
Project quality management pia haikuwa sawa ndio maana baadhi ya hatua zimechuliwa,
Na hay Mano yanawezekana kabisa awayabtano project zilikuwa zinaendeshwa kisiasa
work Breakdown structure unayoingolea ni ipi moan kama unalalamika
Project hiyo ilikuwa inafanyika kisela Sasa lazima Work program inayoaandaliwa izingatie mambo mengi na siyo ya kisiasa
Ukiangalia katikati ya mistari Huna hoja ya msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.