Magu tena?Gharama za kufunga umeme ni zaid ya sh 200000/ magu akaleta siasa eti 27000/ sasa shirika linazama!!!
27,000/- ilikuwa maneno tuKiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Kwani huo umeme si tunalipia unitsLazima wasubiri kwani ni vigumu shirika kununua vifaa kwa gharama ya zaidi ya tzs 150,000 halafu ufungie mteja kwa tzs 27,000/- kalagabaho
unaongelea nguzo gani maana sasahivi kuna mradi wa nguzo za sement zipo kibawwo mitaani zimemwagwa hazijasimamishwa bado na huko kiwandani bagamoyo mzigo umifurika sasa sijui unaongelea ngozo z wapi na pia nguzo kwa sasa haziuzwiKwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?
Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.
Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.
Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.
Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Mbona nguzo nimeziona Morogoro nyingi tu mkuu,hii si kweli.Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?
Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.
Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.
Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.
Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
ukienda branchi ya tanesco chanika, unaambiwa kabisa, lipa 27k usubiri mwaka na zaidi kuunganishiwaSikia bwanamdogo!
Kuna watu wamelipia kwa garama za 350,000 na bado hawapati umeme!
Kazingua halafu akasepa kabla mambo hayajamfika kooni.Magufuli alisema mtanikumbuka na sasa kweli tunamkumbuka mapema mno!
Mimi sijali wanasema nini, mimi najali kile ninachoona, niwaulize wakati naona kwa macho yangu?Pigia mameneja wa tanesco wafuatao waulize kama wanazo nguzo na meta 1. 0784-422884
2. 0784-390625
3. 0682-304430
Wakikuambia zipo ingia in box nakupatia 1, 000,000 Tsh
Hiyo 321 ujue pana hela yao hapo!.ukienda branchi ya tanesco chanika, unaambiwa kabisa, lipa 27k usubiri mwaka na zaidi kuunganishiwa
lipa 321k usubiri miezi mitatu kuunganishiwa
Acha upompoma serikali ilitoa ruzuku kwa tanesco kufanikisha hilo..hii wizara tayari imekaliwa na vilaza wapiga dili..ndio mana mambo hayaendi.Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Brother Hawa Ni wa Mkoa gani . Mbona hapa nilopo Dodoma nguzo zipo au njoo uombeee umeme Dodoma hahaPigia mameneja wa tanesco wafuatao waulize kama wanazo nguzo na meta 1. 0784-422884
2. 0784-390625
3. 0682-304430
Wakikuambia zipo ingia in box nakupatia 1, 000,000 Tsh
tutamkumbuka atakaye weka na kuacha misingi itakayowaweka watendaji wapumbavu gerezani kama ilivyo kwa wanaowapa mimba wanafunzi.Magufuli alisema mtanikumbuka na sasa kweli tunamkumbuka mapema mno!
Sukuma gangKwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?
Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.
Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.
Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.
Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Bunge lipi?.Kama shida ni kalemani kwanini January asipeleke mswaada wa dharura bunheni kupandisha bei ya sh laki 1na nusu ili tuone kama mtakaa kwwnye hivyo viti.PROGRAMME YA rEa vijijina na pembezoni mwa mwiji ni 27000 na wakati wa magufuri rea imefanya kazi nzuri sana kwanini sasa mndanganya watanzania?Tizi zinafanya nini?
Miradi ya umeme inabe funded na donors, hizo hela zinakwenda wapi? Hayo ndio matumizi yake.Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo