January Makamba, Tanesco Hakuna nguzo wala meta kwa wateja wapya nchi nzima , habari hizi unazo?

Hivi Tanesco wanatoa umeme bure ama wanauza? N:B Niliapply umeme mwaka huu na nilishafungiwa. Niko Arusha jiji.
 
Nguzo zote zilipelekwa huku....

DOhWik8WAAEYQcR.jpg
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
27,000/- ilikuwa maneno tu
Mtaa ninapoishi tumeungiwa umeme watu wengi tu hakuna hata mmoja aliyelipa hiyo 27,000/-
 
Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?

Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.

Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.

Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.

Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
unaongelea nguzo gani maana sasahivi kuna mradi wa nguzo za sement zipo kibawwo mitaani zimemwagwa hazijasimamishwa bado na huko kiwandani bagamoyo mzigo umifurika sasa sijui unaongelea ngozo z wapi na pia nguzo kwa sasa haziuzwi
 
Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?

Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.

Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.

Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.

Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Mbona nguzo nimeziona Morogoro nyingi tu mkuu,hii si kweli.
 
Sikia bwanamdogo!

Kuna watu wamelipia kwa garama za 350,000 na bado hawapati umeme!
ukienda branchi ya tanesco chanika, unaambiwa kabisa, lipa 27k usubiri mwaka na zaidi kuunganishiwa
lipa 321k usubiri miezi mitatu kuunganishiwa
 
January atajuta kuifahamu hiyo wizara. Na alivyo kimbaumbau atazidi kukauka
 
Pigia mameneja wa tanesco wafuatao waulize kama wanazo nguzo na meta 1. 0784-422884
2. 0784-390625
3. 0682-304430
Wakikuambia zipo ingia in box nakupatia 1, 000,000 Tsh
Mimi sijali wanasema nini, mimi najali kile ninachoona, niwaulize wakati naona kwa macho yangu?
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Acha upompoma serikali ilitoa ruzuku kwa tanesco kufanikisha hilo..hii wizara tayari imekaliwa na vilaza wapiga dili..ndio mana mambo hayaendi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pigia mameneja wa tanesco wafuatao waulize kama wanazo nguzo na meta 1. 0784-422884
2. 0784-390625
3. 0682-304430
Wakikuambia zipo ingia in box nakupatia 1, 000,000 Tsh
Brother Hawa Ni wa Mkoa gani . Mbona hapa nilopo Dodoma nguzo zipo au njoo uombeee umeme Dodoma haha
 
Magufuli alisema mtanikumbuka na sasa kweli tunamkumbuka mapema mno!
tutamkumbuka atakaye weka na kuacha misingi itakayowaweka watendaji wapumbavu gerezani kama ilivyo kwa wanaowapa mimba wanafunzi.
 
Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?

Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.

Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.

Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.

Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Sukuma gang

Makamba anawasumbua sana mimi nipo tanesco toka huyo msukuma wenu aropoke watu wafunguwe uneme kwa 27000 tanesco walikuwa wanawapimia watu lakini hawakuweza kuwafungia watu mita


Huu ulkuwa mzigo mzito kwa tanesco, mpaka january Mak anaingia madarakani kulikuwa na pending za muita 84000 plus

Acheni siasa za chuki na ujinga ujinga naona mlitaka wasukuma wote ndio wawe kwenye baraza la Mawaziri
 
Kama shida ni kalemani kwanini January asipeleke mswaada wa dharura bunheni kupandisha bei ya sh laki 1na nusu ili tuone kama mtakaa kwwnye hivyo viti.PROGRAMME YA rEa vijijina na pembezoni mwa mwiji ni 27000 na wakati wa magufuri rea imefanya kazi nzuri sana kwanini sasa mndanganya watanzania?Tizi zinafanya nini?
Bunge lipi?.
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Miradi ya umeme inabe funded na donors, hizo hela zinakwenda wapi? Hayo ndio matumizi yake.
 
Back
Top Bottom