How stupid do these people sound? If you know anything about Project Management

We kiazi kweli then I miss placed you na mtu mwingine unaonekana mgeni ambae huna zaidi ya 15+ years plus in U.K.

Hakuna top engineering university kama Brunel in U.K. kwanza hilo jina ni heshima ya engineer mbobezi ‘Isambard Kingdom Brunel’ ambae ana mchango mkubwa sans in civil engineering hasa kwenye kujenga madaraja.

So entry zake kusoma degree za engineering Brunel ni very competitive tofauti na degree zingine; mie binafsi nimepita hapo at the time I wasn’t taking studies serious in my late teens nikaishia kati kuna jamaa nilikuwa nakutana nae maktabs anaishi Reading zama hizo nikadhani ni wewe (there were not many studying computer engineering at the time).

Sasa kusema Brunel ipo Cowley, wakati chuo kipo Uxbridge karibu kabisa na Hillingdon ulipokuwa unaishi shows how pathetic you are if anything nimekukuza tu kusema umesoma engineering Brunel.

Hayo mengine ya project costs sio size yako, trust me yaache.
Hakuna chochote Brunel Uni, ni ya kawaida sana, sema ulitoka utopoloni ndio ilikutisha...
Halafu wewe uliyepita tu unifundishe maskani yangu kuwa Brunel iko Uxbridge?
Kuna Uxbridge town, Cowley village, Yiewsley village, na West Dryton town,
Brunel Uni haiko Uxbridge, ulikaririshwa mporimpori wewe,
Mkaazi wa maeneo hayo anajua iko Cowley, kwa wageni mnarahisishiwa kuijumuisha na Uxbridge ili msipotee...
Endelea Kula vumbi huku ukiteseka na wajanja wanavyopiga hela kwenye huo mradi wewe unaleta shobo za project management

1647693347615.png
 
Sijasema Magu alikuwa perfect bali nimesema angalau alijaribu nina uhakika wewe hata Samia mwenyewe hamuwezi kukubali kutibiwa na daktari aliyeghushi vyeti au ? Au uko tayari kupanda ndege ambayo rubani aliiba cheti cha mwingine ?

Magufuli alikuwaa na mapungufu yake, lkn alijaribu sana na angalau alikuwa na uwezo wa kuona mbele, hivi huyu wenu wa sasa ana plan gani na nchi ? Ana roadmap gani ? Future ya Tanzania ana-define vipi ?
Huwa husomi au kusikiliza road map ya miaka 5? Road map inatengenezwa na Rais?

Useless mind,labda uniambie kwamba wakati wa utekelezaji watu ndio hawaelewi kwa kutoambiwa kwamba tumachofanya huwa kikewekewa dira kwenye mpango na muelekeo wa Nchi kwa miaka 5 na assessment inafanyika hivyo.
 
Sijaangalia video na sijui walichofanya lakini sina Shaka hata kidogo angefanya Jiwe ungekuja ku intellectualise hapa kumtetea.
 
Kiazi mwingine this how it works if you know anything about supervision matrix za project management kwa kifupi before someone issues any project payments. The M.D has to be informed what task is being paid for and it’s contribution towards the completion and there is the system of sharing that information on what work is being done from the ground to the the senior. That is the purpose of supervision matrix.

Do you even what a supervision matrix entails in project management, kabla ya kuja kuandika ujinga.
Unakuta mtu ni project manager bachelor degree kasomea business administration ndo tatizo linapoanzia hapo

Project manager anatakiwa awe na background ya engineering
 
Ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kueleweshana na wewe.

Kama nilivyokwambia nenda kajifunze mantiki ya project supervision matrix and how senior management is kept up to date as the project evolves on daily basis.

Vinginevyo unatetea ujinga usioelewa ndio maana uoni mapungufu ya kauli zao.
Njoo uombe wewe hiyo kazi ya MD ufanye wewe. Haya ndio yale mambo ya mtu kuona kuishi UK tayari ni qualification fulani na kila kitu anajua.
 
The minister's body language speaks of how not sure he is on what he trying to tell!
Just another lie on top of the first lie!

K
Let's keep on watching!
 


Like seriously can a management team amend the WBS of a designed project? Do these people understand contract consideration and the significance of WBS in the first place.

I can understand the weakness on supervision matrix from TANESCO’s side just by listening to those two bozzos (i.e the minister and TANESCO’s M.D) it just reveals their level of incompetence on managing the project as clients. Nonetheless there are more serious problems than we originally thought on the clients management side.

Just clueless people on how to be up to date on the percentage of work done on weekly basis; yaani utegemee facts za mwezi uliopita kuongelea mradi ulipo wewe kama mkurugenzi the nonsense I heard is beyond me.

Hivi hawa watu wanafikiaje hizi nafasi wakati uelewa wao wa maswala ya management ni mdogo sana at senior level, halafu kwenye shirika ambalo very technical kulisimamia on everyday basis.

work Breakdown structure unayoingolea ni ipi moan kama unalalamika


Project hiyo ilikuwa inafanyika kisela Sasa lazima Work program inayoaandaliwa izingatie mambo mengi na siyo ya kisiasa

Ukiangalia katikati ya mistari Huna hoja ya msingi
 
Ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kueleweshana na wewe.

Kama nilivyokwambia nenda kajifunze mantiki ya project supervision matrix and how senior management is kept up to date as the project evolves on daily basis.

Vinginevyo unatetea ujinga usioelewa ndio maana uoni mapungufu ya kauli zao.
Ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kueleweshana na wewe.

Kama nilivyokwambia nenda kajifunze mantiki ya project supervision matrix and how senior management is kept up to date as the project evolves on daily basis.

Vinginevyo unatetea ujinga usioelewa ndio maana uoni mapungufu ya kauli zao.
Project management gain unayoiongelea 😊😊😊😊
 
Ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kueleweshana na wewe.

Kama nilivyokwambia nenda kajifunze mantiki ya project supervision matrix and how senior management is kept up to date as the project evolves on daily basis.

Vinginevyo unatetea ujinga usioelewa ndio maana uoni mapungufu ya kauli zao.
Project Management gain unayoiongelea
 
Inaonekana nimetumia lugha mbovu sana kwenye hii mada inayokwaza wasomaji.

For that I apologise my bad kwa aliekerekwa.

Kuelezea WBS ni mtihani kwa sasa ila much easier to google it on what it entails.?
Mtu ana PMP unamwambia akasome google
 
Hakuna chochote Brunel Uni, ni ya kawaida sana, sema ulitoka utopoloni ndio ilikutisha...
Halafu wewe uliyepita tu unifundishe maskani yangu kuwa Brunel iko Uxbridge?
Kuna Uxbridge town, Cowley village, Yiewsley village, na West Dryton town,
Brunel Uni haiko Uxbridge, ulikaririshwa mporimpori wewe,
Mkaazi wa maeneo hayo anajua iko Cowley, kwa wageni mnarahisishiwa kuijumuisha na Uxbridge ili msipotee...
Endelea Kula vumbi huku ukiteseka na wajanja wanavyopiga hela kwenye huo mradi wewe unaleta shobo za project management

View attachment 2156734
Ukitaka kwenda Brunel unashuka kituo gani cha karibu kwa train?

Ukipata jibu utajua kipo eneo gani.

Sijasema Brunel ni top University but it among the top on engineering degrees hiyo ndio main specialisations yake, course zingine unaingia kirahisi tu.
 
Bodii nzima ya Tanesco are wrong, including the contractors involved who are willing to accomodate the proposed changes? You just go by the book, like what the Quran tells you what to and not to do?
 
Bodii nzima ya Tanesco are wrong including the contractords involved who are willing to accomodate the proposed changes?
Waziri na mkurugenzi ndio vilaza sijasema TANESCO nzima. Yaani we unakuwa up to date na mradi wako a month after halafu unasema unafanya mambo kisayansi.
 
Waziri na mkurugenzi ndio vilaza sijasema TANESCO nzima. Yaani we unakuwa up to date na mradi wako a month after halafu unasema unafanya mambo kisayansi.
Maamuzi yanafanywa na Tanesco nzima mkuu, bodi yote. Huwezi jua, labda kuna legal clauses kwenye mikataba yao ambayo inawaruhusu Tanesco kufanya mabadiliko yoyote ya project husika «at whim» as you say.
 
work Breakdown structure unayoingolea ni ipi moan kama unalalamika


Project hiyo ilikuwa inafanyika kisela Sasa lazima Work program inayoaandaliwa izingatie mambo mengi na siyo ya kisiasa

Ukiangalia katikati ya mistari Huna hoja ya msingi
Issue ya msingi hapa sio conundrum ya ‘kuku na yai‘ kipi kimetangulia.

Project kubwa kama hiyo inakuwa na management structure yake na system of communication.

Kwa upande wa contractor ukienda egypt head of projects kwenye hiyo kampuni anajua hatua za mradi ulipo probably each week ata kama Tanzania ajafika kuna mechanism za ku update kazi often.
 
Umeleta hili suala hapa, hautaeleweka,.
Haya ni mambo huwa tunajadili kule kwenye platform za professionals LinkedIn.

Hapa utaanza kubishana na wahasibu, walimu, manesi n.k ambao hawajui chochote kuhusiana na Project /Construction Management.
 
Asante kwa kunipeleka juu kwa viwango vya Brunel University japo Uni niliyosoma ilikuwa bora kuliko Brunel, na wakati huo huo nilikuwa mkazi wa wilaya Hillingdon Borough, ambapo Brunel University ilikuwa ndani kitongoji cha Cowley kilichokuwa mitaa kadhaa kutoka ninapoishi katika kitongoji cha West Dryton.
Ni hivi hiyo unayoongelea ndio tuliokuwa tunachambua hata huku Brunel University :cool:, ambayo tunaita "White Elephant Project"
UK waliaanzisha mradi wa kujenga reli kutoka London mpaka kaskazini ya nchi ya UK, ulioitwa HS2 Project(White Elephant), ambapo mpaka sasa, Mawaziri wakuu watatu wamepita bila hata ya mafanikio ya kuonyesha wanainchi mradi umefikia wapi............
USA, Trump aliianzisha ujenzi wa ukuta (White Elephant)kuzunguka mpakani mwa nchi yote ya Mexico ili kuzuia uhamiaji haramu.....

Ukiangalia miradi yote hiyo ilikuwa na kitu kinaiitwa "Constrains" (Changamoto) ndio labda tafsiri yake

Kwa Wenzetu, zaidi ilikuwa ni Scope constrains ambazo zinajumuisha Legal isssue(kesi za pingamizi za mradi), ambayo inaongezea changamoto nyingine ya Time constrains(Muda) unakuwa unaongezeka na kusababisha muda wa serikali husika kumalizika na kuaanza na serikali mpya ambayo inakuwa na vipaumbele tofauti.....

Kwa Tanzania, kikubwa kilikuwa ni "Cost constrains", hela za kueendeshea mradi, sababu tumekuja kujua kumbe mwendazake alikuwa anakopakopa, tena mikopo ya hovyo kabisa kutoka nchi chafu kama Turkey na India ili kuendeleza kiini macho kuwa mradi ni fedha za ndani...
Sasa ndio "Mama" ilibidi na yeye azunguke kwa mabeberu kupata msaada na mikopo kueendelaza hizi White Elephant project, japo na kuvumilia shombo na mataputapu ya sukuma gang, kuwa anaiuza nchi, wakati tulishauzwa zamani tu kabla ya Mama...
Mkuu unaelewa maana ya "White elephant projects"?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom