Natumaini mpo salama wapendwa naomba msahada wakujua dawa ya matibabu ya muwasho wa ngozi asa pale mtu anapokuwa katika hari ya mwili kuisi joto au mshtuko wowote uwa mwili uanza kuwasha sana sana kichwa na usoni kwamuda wa dk4 ndo iyo ali inatulia samahan naomba ushauli au dawa gani yakutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.