godlove5
Member
- Oct 7, 2020
- 32
- 13
Nina 2.3 ml na duka la biashara ninalo linausika na utengenezaji wa simu na kuuza accesssories za simu lina thamani ya laki 5 nilikuwa nahitaji kupata kuongeza biashara yangu ikuwe zaidi niweze kuwa nauza hata kwa jumla.
Naomba msaada kujua pakujumua mzigo kwa bei nzuri na nikaongeza bidhaa kwenye duka langu kwahiyo pesa
Naomba msaada kujua pakujumua mzigo kwa bei nzuri na nikaongeza bidhaa kwenye duka langu kwahiyo pesa