Recent content by godfrey wilson

  1. godfrey wilson

    Mafundi waziri wa kudisgin paaa na kupaua

    Napatikana hapa Dar Kwa Namba hii 0689279560. Utapata paaa murua kulingana na mjengo wako Kama Fundi aliitendea halo.
  2. godfrey wilson

    Mikutano ya siasa ikiruhusiwa Chadema mtawahutubia nani na wafuasi wenu wamewakimbia?

    Watakuwa karantini alafu uchanguzi ukija mambo yenu mwanzo mwisho matusi kura zikipigwa mmeibiwa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. godfrey wilson

    Rais wetu ana madaraka makubwa sana. Yuko juu ya bunge na Mahakama. CCM wanakosea sana kwa kumdanganya na kumsifia kupita kiasi

    Hivi unaposema mbowe tuvushe mko wapi na awavushe kwenda wapi naomba majibu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. godfrey wilson

    Chuki zingine za kujitakia - Watumishi wa Umma hawatapigia kura kamwe CCM 2020

    Mtasema sana haya maneno ya Leo miaka yote yapo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. godfrey wilson

    Chuki zingine za kujitakia - Watumishi wa Umma hawatapigia kura kamwe CCM 2020

    Mbona sijaona mfanyakazi kaacha Kazi et hajaongezwa mshahara Sent using Jamii Forums mobile app
  6. godfrey wilson

    Tukio la kupokea ndege Mwanza: Sijafurahishwa na utaratibu unaotumiwa na TBC kurusha picha

    Siku zote mnadema hamtazami Tbc lakini vyanzo vyote vya habari zenu ni Tbc na muda wote mnakodoa mimacho utasikia Tbcccm Wabongo bana mnaboa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. godfrey wilson

    Awamu hii Spika wa Bunge ni kama Mlinzi wa Rais au Sekretari wa Rais

    Angekuwa dhaifu akina lema na mdee wangekuwa wanachia mitusi kama ilivyokuwa akina mnyika kumwita jk dhaifu Leo sema Jpm dhaifu uone mziki wake
  8. godfrey wilson

    Dkt Bashiru Katibu Mkuu CCM awasili Kisisani Pemba

    Hao hafanyi mikutano wanakangua utekelezaji Wa ilani yao kama inafikiwa kama kuna tatizo mahala wanachukuwa hatuna.tofauti na wapinzani wao wanafanya mikutano na kutoa matusi hawahamasishi maendeleo wakikuta kinafanyika kitu Kazi yao kupiga ndio maana wameambiwa siasa hadi 2020 ndio waseme mbona...
  9. godfrey wilson

    Natafuta mume

    Niko hapa nicheki 0769427725
  10. godfrey wilson

    Kero: Msafara wa Rais umekuwa mateso kwa watumiaji wa barabara

    Ulitaka muongea kingereza ndio awe Ràis wako ili upate nn wakati anaongea kilugha cha kingereza hicho
  11. godfrey wilson

    Wabunge wa Kenya wamfagilia Magufuli

    Kwa miaka hii Roho zenu nyeusi sana mtakoma sana wanaotoka nje Wa naona ukweli mlitaka waone kama nyie mliovaa miwani ya miti mtakufa na Roho zenu hizo ndio maana mnashindwa hata kujenga ofisi hata Rangi hampaki mkitaka vikao hotel bili hamjui inalipwa bei gani
  12. godfrey wilson

    Spika Ndugai: Kwa wale msiojua Bunge limebakisha mikutano miwili tu Februari na Aprili 2020 kabla Rais Magufuli hajalivunja rasmi

    Tena zito akijichanganya kugombea ubunge ndio kwisha kabisa na akienda kwenye urais 0 ziro kabisa
  13. godfrey wilson

    Spika Ndugai: Kwa wale msiojua Bunge limebakisha mikutano miwili tu Februari na Aprili 2020 kabla Rais Magufuli hajalivunja rasmi

    Michadema watasubili sana hakutakuwa na kambi ya upinzani michadema wabunge 3 na viti malum 2 jumla 5 ACT ndio itakuwa na wabunge kutokea Pemba zito ndio atakuwa kama mbowe leo
  14. godfrey wilson

    Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

    Nchi ina watu mambo yasio na maana ndio hupendwa Tanzania yetu tunaijenga wenyewe kwa ujinga tunabomoa kwa upuuzi. Ukiharibu ama kuponda ndio unakuwa kamanda ama ukisema uogo hapo ndio shujaa tubadilike tuipende nchi yetu ukiona michadema inafurahia jambo ujuwe ni kubomoa. Mfano mijinga kibao...
  15. godfrey wilson

    Tanzania: Nchi pekee ambayo wapinzani wanathubutu kunajisi Utawala wa Sheria

    Mwambieni mwkt wenu aitishe uchanguzi ndani ya chama chenu chadema haina uogozi pale wanabaka wanachama wale muda wao umeisha
Back
Top Bottom