kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nimeudhika na utaratibu wa kurusha picha kwani muda mwingi wanatuonesha mahema wakati ndege imeshawasili.
Mpiga picha au mwongoza kipindi anataka watu waone nini kwenye mahema yenyewe kama ya wakimbizi?
Au una agenda gani labda tujue? Maana hata watu si wengi hapo kwenye hizo tents.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpiga picha au mwongoza kipindi anataka watu waone nini kwenye mahema yenyewe kama ya wakimbizi?
Au una agenda gani labda tujue? Maana hata watu si wengi hapo kwenye hizo tents.
Sent using Jamii Forums mobile app