Jamani naombeni msaada wa kuchanganya cocktail maana nilikunywa mahali aisee ilikuwa poa sana sasa natamani na mimi niweze kuiandaa ila sijui michanganuo nini na nini naombeni misaada kwa ninyi mnaofahamu au kama kuna ambayo imekamilika pia nipate kujuzwa yaani kama naweza enda dukani au...
Ndugu yangu huko kila kitu utakacho fanya lazima ukate tena sio kidogo hata huku kwenye menu ya kawaida nilazima ukatwe maana unatakiwa uwe na vocha kwenye simu sio kifurushi hapana ni vocha kama vocha
Nyumbani kwangu kuna tatizo la mita yaani unit zipo lakini umeme hauwaki nikiongeza unit zinaingia vizuri tuu nikiangalia unit zinaoonyesha vizuri lakini umeme ndani hauwaki kwenye rimont yake inawaka taa moja nyekundu na pia kuna mshale umenyanyuka juu badala ya kunyooka nimetoa taarifa...
Ndugu zangu wooote nawashukuru maana tatizo la pc yangu limekwisha nawashukuru nimefuata maelekezo na hatimae tatizo limekwisha na tena nimejifunza kitu kwenu hili ni somo ambalo hata wakati mwingine linaweza kunisaidia kabla sijaja huku ASANTENI ila shukrani za pekee zikufikie ndugu yangu...
Mkuu nikiiwasha wakati inapokea moto zinawaka taa 2 za njano moja ni ya disc na nyingine ni ya power sekunde kama 2 tuu zinakata na inawaka taa nyekundu na inawaka kwa ku-blik kama endcator na inaambatana na alarm inapiga mara tano 5 kisha inakata inapiga tena na tena na mwisho alarm inakata...
Hivi huwa mnawazaga nini yaani mnapocomenti eti urafiki upo kati ya mwanaume na mwanamke huo urafiki unakaa sehemu gani?kwani huyo mwanaume yeye anakuwa hana matamanio?
Maana ninachojua mimi urafiki wa kazini huo sio urafiki hayo ni mahusiano ya kikazi au kiofisi hivyo huo sio urafiki .rafiki...
Mkuu mimi nina tatizo kama hilo pc yangu aina ya hp desktop nilikuwa naitumia vizuri tuu nikamaliza shuhuli yangu kwenye kompyuta yangu na nikaizima vizuri tuu nikawa nimekaa kama masaa mawili nikataka niitumie tena basi ile nawasha tena inawaka taa nyekundu ambayo sijawahi iona ikiwaka tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.