kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,398
- 17,106
Kumbe
Dish ni kama ungo wa mchele tu

issue pale ni ile receiver ndio ina control taarifa zoteIla dish na decoder ni zozote
Kumbe

issue pale ni ile receiver ndio ina control taarifa zoteUbora NI uleule Ila dish linatumia satellite hivyo Lina gharama zaidi kuliendesha tofauti na Cha antenna na ndio maana vinapishana Beinatamani mwenye majibu anielimishe na mimi