Recent content by GODFREY JECKONIA

  1. G

    Swali la weekend kwa wanafamilia...

    Wana forum kwa mtazamo wa wanawake wacha Mungu kipato cha familia ni 700000 Ikiwa ukimpata mkeo kwa akilizo mwenyewe basi swali hili litaleta mjadala ila ikiwa ni the COMPATIBLE that was sent to you from heaven its the same
  2. G

    Sexually transmitted demons/maambukizi ya mashetani kwa njia ya ngono. Nini uhalisia wa janga hili?

    Jamani huyu mdau aliyesema hana dini ila ana Mungu nampa pongezi kwa sababu Dini kiuhalisia ni utaratibu tuu wa kumwabudu Mungu Mwenye enzi yote na utukufu wote na heshima zote na adhama zote!!! Mfano ktk Ukristo Biblia Takatifu katika kitabu cha Yakobo( 1:26-27) inasema (DINI ILIYO SAFI, ISIYO...
  3. G

    Watu wa fani ya ushushushu wanasema wana hisia sita hivi hiyo ya sita ni ipi?

    Big up JAPO HOLY SPIRIT IS FAR ABOVE AND BEYOND A MERE SENSE. ANATUJULISHA MENGI MNOOO.
  4. G

    Sexually transmitted demons/maambukizi ya mashetani kwa njia ya ngono. Nini uhalisia wa janga hili?

    Pamoja na kuwa bado siwezi kutoa vielelezo kutoka ktk maandiko lakini jambo hilo ni kweli kbs. Na siyo tuu kwa walio nje ya ndoa bali hata wanandoa wenye background ya masuala na imani za kimizimu wanaweza kuambukizana mapepo na majini kwa njia ya tendo la ndoa. DAMU INAHUSIKA KURUHUSU MAMBO...
  5. G

    Nimeamua kuuza figo yangu moja ya kulia ili kulipa deni la loan board

    Acha kutania bwana!!! Baki na figo zako 2. Ila tafiti zinaonesha kuwa pamoja na vumbuzi unazozijua na usizojua bado binadamu hajatumia hata robo ya uwezo mkubwa Mungu aliomjalia ktk ubongo!!! Halafu jarbu kufikiria kama ungekuwa na figo moja ungefanyaje??!! Jaribu kuumiza akili mTZ MWENZANGU.
  6. G

    UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

    Waache tuu their graduants will feed on politics.
  7. G

    UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

    Halafu that's Africa njoo,uminimize to East Africa uone kama Kenya bado haipo kileleni. Ushabiki tuweke mamdo let's walk on fact carpet.
  8. G

    UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

    Rais Mao Tsetung alisema no research no right to speak!!! Kwa hiyo kwa maana nyingine alimaanisha with proved research we can dare open our mouths!!! Anayetaka kuzungumza afunue nyaraka alizopata hapo poa, siyo kwamba kuwa Mimi nimesoma UDSM au SAUT pamoja na porojo za baadhi za wahadhiri...
  9. G

    UDSM vs SAUT, wapi ni bora?

    BORA, hakuna asyejua ila UBORA NA UWEZO KTK TAFITI PAMOJA NA KI2 SI CHA MAPROFESSOR.
Back
Top Bottom