Recent content by god father

  1. G

    Mzimu wa Zitto Kabwe kukiandama kikundi cha UKAWA

    Ukweli hucheleweshwa tuu lkn huja. Zitto aliomba vyama vinne: ccm, chadema, nccr na cuf viwasilishe mahesabu na mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali. Na japo ndipo alipochochea moto wa kuandamwa, ila IPO siku tutajua mbivu na mbichi. Nawasilisha
  2. G

    Mwigulu: Namzimia sana Zitto, Kuliko wanasiasa wote vijana, ila kwenye urais anisubiri kwanza

    Siasani si mpaka usifiwe na wenzako ndani ya chama, tukubali au kukanusha zitto ni mwanasiasa ambaye ana mvuto was kitaifa na kimataifa Mathalani, kimataifa has a bars LA Africa ndie mwanasiasa ambaye amechukua tuzo za mwanasiasa ambaye yuko mstari was mbele kutetea maslahi ya umma, hata Julius...
  3. G

    YAH: Taarifa za Uzushi/Uongo kuhusu kupotea kwa Helkopta nikiwa Ziara Mkoa wa Tanga (17.01.2015)

    Mh mwigulu ktk suala escrow umetufahamisha kuwa umewapelekea ankala Lkn unadhani hiyo ndo njia sahihi kwa MTU aliy Mh Mwigulu. Naomba unipe majibu ya hoja yangu ifuatayo 1. Katika sakata la escrow watuhumiwa hawakulipa kodi kwa wakati. Mpaka imefikia hatua ya ofc yako kuwabembeleza kwa...
  4. G

    Kwahili Muhongo nakupa tano

    Pasipo kumung'unya maneno muhongo ni kiongozi anayeongea ukweli unao uma na so uongo wa kutufurahisha. Ki utamaduni na siasa za tz tumeshaaminishwa kuwa siasa ni uongo na ndio tunao upenda wengu wetu. Ki msingi majibu aliyoyatoa huyu mheshimiwa hayana tofauti kabisa na ya mh rais, hivyo yeye...
  5. G

    Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

    Bon reponde Mon ami
  6. G

    Ukweli mchungu: Lowassa ameshatoswa na CCM

    Waacheni wafu wazike wafu wao
  7. G

    ESCROW: Hatimaye Tibaijuka, Chenge watumiwa ankara kulipia kodi

    Serikali makini Kama China ingekuwa ilisha wafilisi hao viongozi wa dini wangetimuliwa na warudi kwao vatcan. Wengine wote risasi za kisogo tuu
  8. G

    ESCROW: Hatimaye Tibaijuka, Chenge watumiwa ankara kulipia kodi

    Huku bado ni usanii tuu. Hawa j Kupe wamechukua fedha toka mwaka Jana kodi inadaiwa Leo. Hv kweli ccm timamu? Wameshasahau kipindi cha wahujumu uchumi kilikuaje? Ingekuwa ni wapinzan Leo wangekuwa uraian? Hebu msifanye watz wa Leo sawa na wa Jana aisee
  9. G

    Mwanasiasa gani jasiri, hodari, makini na mzalendo 2010~2015?

    Zitto ndo mwanasiasa jembe zaidi
  10. G

    Mwanasiasa gani jasiri, hodari, makini na mzalendo 2010~2015?

    Taarifa.mh zitto wakati akijibu hoja za escrow scandal hasa ya mh lusinde aliliomba binge kuchunguza hiyo propaganda uliyoaminishwa.namnukuu" mh spika mm ni mwanasiasa mwenye ngozi ngumu sana... Mengi yamesemwa yakimuhusisha na mama yangu....... Naomba niadhibiwe kama mm mwacheni mama yangu...
  11. G

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    Yoto kwa yote mwisho was siku die kajiinua na kainua taifa . god bless tz
  12. G

    New Africa Hotel Yaungua Moto Mida hii

    Hiyo ni janja ya fisi tuu. Juzi bungen wamedemwa na zitto wanadaiwa kodi zaid ya billion na serikali so walipe tuuu
  13. G

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    Kikubwa nachoweza kujivunia kama mdau wa maendeleo kutokana ma mafanikio ni kitendo chs yeye kujitangaza binafsi kama WCB ambayo ni nembo take ya kibiashara lkn kubwa LA nyongeza kwetu kama watanzania ni kututangaza cc sote kama jamii ambayo ulikuwa haitambuliwi miongo michache ya nyuma. Hongera...
  14. G

    Msaada kwenye tuta

    Mapenzi cku zote huanza na usafi wa wahusika Fanya yafuatayo 1 hakikisha mazingira ya ndani ni masafi kwa kiwango kikubwa 2 mwandalie chakula kizuri na bashssha zingne kama ubani chair ya viungo vzr 3 usisahau vzawadi vdg vdg mfano kadi nzuri kama MNA uwezo jarb kumnunulia mashat manukato Hoi...
Back
Top Bottom