Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,768
- 49,934
Kiutendaji Muhongo namkubali, ni mtendaji mzuri sana. Uwepo wa Muhongo, Magufuli na Mwakyembe ndiyo angalao unaofanya serikali ya Kikwete ionekane ina uwezo wa kufanya baadhi ya mambo muhimu.
Lakini 2015 ni lazima CCM iondoke maana tunataka serikali iliyokamilika siyo ya mawaziri wenye uwezo wa kufanya kazi watatu tu.
Lakini 2015 ni lazima CCM iondoke maana tunataka serikali iliyokamilika siyo ya mawaziri wenye uwezo wa kufanya kazi watatu tu.