Acha kutumia tangawizi,limao pilipili na vitu vyote vichungu ndo maana huponi kwa sababu uchungu wa hivi vitu ndo unaoongeza ugonjwa
Tengeneza dawa hii hakika utapona
Pima vijiko vinne vya asali mbichi,rimao moja kamua mchuzi,chumvi kiasi kidogo,maji ya uvugu vugu Kisha chanyanya....tumia...
Hata mi nshawah kufanyiwa huu mchezo,nilikata ticket mpka tunduma nulivofika mbeya wakanifaurisha kwenye costa mbovu,dah nusura niue mtu maana roho yangu iliumia kwelkweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.