Recent content by Gmwanguku

  1. Gmwanguku

    Msaada wa dawa ya madonda ya kooni

    Acha kutumia tangawizi,limao pilipili na vitu vyote vichungu ndo maana huponi kwa sababu uchungu wa hivi vitu ndo unaoongeza ugonjwa Tengeneza dawa hii hakika utapona Pima vijiko vinne vya asali mbichi,rimao moja kamua mchuzi,chumvi kiasi kidogo,maji ya uvugu vugu Kisha chanyanya....tumia...
  2. Gmwanguku

    Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?

    Mi LY bwana wenye degree shauri yao
  3. Gmwanguku

    Tahadhari abiria wa mabasi ya Happy Nation

    Hata mi nshawah kufanyiwa huu mchezo,nilikata ticket mpka tunduma nulivofika mbeya wakanifaurisha kwenye costa mbovu,dah nusura niue mtu maana roho yangu iliumia kwelkweli
  4. Gmwanguku

    Jamhuri: Mbasha alibaka ndani ya gari

    Cha kwanza alitulia cha pili alitulia cha tatu........eti ndo kashtaki ana pepo la ngono huyo binti
Back
Top Bottom