swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
HAMJAMBO WAPENDWA,
Nahitaji msaada wa Dawa Bora ya Madonda ya kooni (Tonses) sijui kama Hilo Jina ni sahihi mtanirekebisha..
Nimetumia Dawa zifuatazo kwa muda wa week 3 Sasa na sijapata Nafuu.
1-Ampclox
2-Pen-V(Kutafuna)
3-Cepro+Azuma
Dawa za kienyeji.
1.Maji ya moto yenye Chumvi.(kusukutua)
2.Kuchua kwa Mafuta ya Taa
3.Mchanganyiko wa Limao, tangawizi, kitunguu saumu,na Asali.
4.Majani ya Mlavumba unayatafuna na chumvi.(Majani flan machungu Sana na yanawasha na kuwa kama yanakatakata kwenye vidonda.)
Madonda hayajavimba kwa Nje yaani hayaonekani, ni ugonjwa unaojirudia Mara kwa mara, na Mara zote huwa napona kwa kusukutua maji moto yenye Chumvi na Vidonge vya ampclox Napona, Lakini Awamu hii imekuwa Tofauti Sana.
Situmia Vinywaji vyovyote vya Baridi Wala siiishi Mkoa wenye Baridi..
Msaada Tafadhali.
Nahitaji msaada wa Dawa Bora ya Madonda ya kooni (Tonses) sijui kama Hilo Jina ni sahihi mtanirekebisha..
Nimetumia Dawa zifuatazo kwa muda wa week 3 Sasa na sijapata Nafuu.
1-Ampclox
2-Pen-V(Kutafuna)
3-Cepro+Azuma
Dawa za kienyeji.
1.Maji ya moto yenye Chumvi.(kusukutua)
2.Kuchua kwa Mafuta ya Taa
3.Mchanganyiko wa Limao, tangawizi, kitunguu saumu,na Asali.
4.Majani ya Mlavumba unayatafuna na chumvi.(Majani flan machungu Sana na yanawasha na kuwa kama yanakatakata kwenye vidonda.)
Madonda hayajavimba kwa Nje yaani hayaonekani, ni ugonjwa unaojirudia Mara kwa mara, na Mara zote huwa napona kwa kusukutua maji moto yenye Chumvi na Vidonge vya ampclox Napona, Lakini Awamu hii imekuwa Tofauti Sana.
Situmia Vinywaji vyovyote vya Baridi Wala siiishi Mkoa wenye Baridi..
Msaada Tafadhali.