Recent content by GMbayuwayu

  1. GMbayuwayu

    Mwenye connection ya mfanyakazi wa ndani anipe tafadhali

    Mimi nilileta mmoja toka Nyakanazi mpaka Dsm, kafika saa 4 Asubuhi kesho yake kapandisha Mashetani, yanataka arudishwe kwao.
  2. GMbayuwayu

    Temporary Employment Opportunities at Tanzania Airports Authority (TAA)

    Wamefanya Kimyakimya, mbona hatukuona wala kusikia kuhusu PDF
  3. GMbayuwayu

    Fully Commissioned Sales Representative.

    Thanks, Already applied.
  4. GMbayuwayu

    Temporary Employment Opportunities at Tanzania Airports Authority (TAA)

    Ndugu unachanganya madesa,hawa hawahusiki na ndege kabisa, wao ni Viwanja.
  5. GMbayuwayu

    Temporary Employment Opportunities at Tanzania Airports Authority (TAA)

    Mwisho wa hilo Tangazo lao wametoa Email address na Postal address, unaweza apply kwanjia yeyote kati ya hizo. Kumbuka Deadline ni 7/9/2023.
  6. GMbayuwayu

    Usaili Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

    Watakuwa Matapeli tu, TRA hawajaongea chochote mpaka sasa. Kuhusu Multiple Applications hawakutoa angalizo/katazo.
  7. GMbayuwayu

    Nafasi za Kazi TRA

    Ni kweli hiyo sehemu ya Academic qualifications haina option ya kudelete,nilichofanya mimi niliwapigia kwenye namba zao huduma na wao wakanisadia kudelete. Unawapata kwa namba 0735398259 na 0784398259 Sent using Jamii Forums mobile app
  8. GMbayuwayu

    Mfahamu Jaili: Chinja chinja aliyevuma Mbeya na Mama yake aliyekufa na kufufuka mara tatu

    Kwa kiswahili sijui wanaitaje ila kwa Kiingereza wanaita Peaches, Iringa nao wanaita Mapindigasi sasa sijui ni Kihehe au? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. GMbayuwayu

    Nimeulizwa kuhusu historia ya baba wa taifa na uvutaji sigara kusudio nini?

    Kaka sikumoja nitafutie historia ya mtu Anaitwa Godfrey Mwakikagile aliwahi kufanya kazi magazeti ya Standard Newspaper (Daily News) miaka ya 70 Sent using Jamii Forums mobile app
  10. GMbayuwayu

    Wanafunzi wote walio Vyuo Vikuu wasio na sifa kuondolewa. Vyuo kurudisha fedha za wanafunzi hewa

    Usiwe na mashaka ndugu, Kama wakati unadahiliwa muongozo ulikuonyesha EE mbili ni eligible hutaguswa, wanaowasaka ni wale ambao hata hizo minimmum qualification hawakuwa nazo pamoja na waliotumia vyeti vya kutengeneza.
  11. GMbayuwayu

    Hatma ya wanafunzi waliosimamishwa masomo UDOM itajulikana lini?

    Tamko limetolewa tayari,Majina na vyuo wanakokwenda imetangazwa. 382 watarudi UDOM, 290 Wamebainika hawakuwa na sifa kabisa za kuwepo chuoni, walio salia wamepelekwa kwenye vyuo mbalimbali vya Ualimu kama vile Butimba TC,Morogoro TC,Tukuyu TC,Songea TC, n.k
  12. GMbayuwayu

    Sensa ya waliopata mikopo kutoka bodi ya mikopo

    Bodi ya mikopo hutoa mikopo Kwa wanachuo tarajali wa vyuo vya Elimu ya juu(Wanao tarajia kujiunga na Chuo) pamoja na wale wanaoendelea na masomo mpaka pale watakapo hitimu na si kweli kwamba hutoa mikopo Kwa walio hitimu. Tunaposema waliohitimu ni wale walio maliza chuo.
Back
Top Bottom