yaani jamaa yangu alikuja room kama kachanganyikiwa hivi.
the lady was beautiful enough and kind kiasi cha mtu kutofikiria mara mbili mke wa kuoa akiwa naye. lakini ndio hivo wazuri huwa hawakutani na walio serious wanaishiaga kuchezewa tu na wao kukata tamaa.
dogo nenda kasome MD. achana na kozi ambazo zipo Tanzania tu. hao AMO wanafukuziwa vijijini sasa hivi. tafuta chuo unasoma MD.
bado kijana mdogo AMO anatakiwa kwenda mtu ambaye umri umemtupa na hawezi kuvumilia miaka 5
huyu jamaa alimtongoza huyu dada wanavyofika chuo first year akakubaliwa na akawa mpenzi wake.
dada alikuja kujitoa baada ya kuona jamaa ni mwezi, mgomvi na mvuta bangi. in short jamaa alikuwa anashinda block G pale.
msela baadaye akawa analazimisha warudiane na huyo dada ila akatoswa...
huyu dada nakumbuka alikuwa very beautiful na alishakuwa kwenye mahesabu ya wengi enzi hizo block C.
alikuwa mpole, mrefu aliyeumbika na haiba fulani ya kimama sio kimchepuko.
kuna jamaa yangu alikuwa amedhamiria akimpata anaoa.
tulisikitika sana kuambiwa X wake kamchoma kisu na bahati...
mbinafsi tu wewe. wanawake lazima mkubali kuwa mko wengi kwa hiyo wengine watakuwa mchepuko na wengine wake wenza. hii ipo kabla hata ya uhuru wa tanganyika.
hakuna kitu cha peke yako
unapokubali kuchanganya kabila haya mambo hayakwepeki.
mimi huwezi ukanifanya nianze kumtesa mama yangu kuongea kiswahili wakati hakijui. kuna vitu ni vyepesi tu. jifunze hata cha kuombea maji
wanawake msijifanye hakuna mnachojifunza na kung'ang'ania kujifunza kupaka rangi kucha tu. wewe kujifunza lugha ya ukweni inakushinda nini?? mbona ukiwa na wa kwenu unaongea cha kwenu??
mwanamke akiwa hujielewi ni bora ubebe mzigo wa kulea watoto tu. maana yeye ni mzigo mkubwa unasababisha watoto wanakosa huduma nzuri. usikute hela zenyewe anakopa na kuhonga wanaume au kuonesha kijijini kwao kuwa yeye ana hela huku mjini
kuna wengine wanakopa aaafu wanakula na ndugu zao. sasa mimi ntahusikaje kulipa!?? akili za wanawake wengine wanazijua wenyewe. ukute kwenye hizo biashara zake hakuwahi hata kununua chupi ya mtoto. mtu unamkataza asichukue mkopo na yeye anang'ang'ania huyo ukimuacha na madini yake atakulaumu??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.