Recent content by gkasambo

  1. gkasambo

    Vitochi original bei rahisi sana

    Tutafanya biashara mbeleni huko
  2. gkasambo

    Dhuruma ya madaraja kwa walimu waliojiendeleza kielimu na kubadirishiwa muundo

    Mm naomba nipate tu hiyo ajira ya ualimu tu Madaraja wakae nayo tu
  3. gkasambo

    Umuhimu wa kuwa na lipa namba

    Uzi bomba
  4. gkasambo

    Je, ufugaji Samaki Morogoro Unalipa?

    Gharama za kuandaa bwawa mpaka kuwa tayari ni kiasi gn approximately
  5. gkasambo

    TAMISEMI imetuhadaa! Vigezo ilivyotangaza na mkeka ulivyo ni tofauti

    Bashungwa anaupiga mwigi sana moaka unamwagika Hata ungekuwa ww waziri usingeweza kuajili watu wrote Watu wameomba 123000+ nafasi ziko 9800 tu Hebu piga hesabu hapo ungekuwa ww ni waziri hapo ungeajili wangap na kuacha wangap mtaani Hata angekuwa baba ako ndio anapanga hizi ajira bado watu...
  6. gkasambo

    Wale mtakaofanikiwa ajira za Ualimu njooni hapa tujuzane

    Wakuu habari Kwa anayefahamu vzr mazingira ya karema secondary (katavi region) anielekeze yako VP Shule INA advance au in O'level tu? Kwa mtu anayetokea dar, njia rahisi na nzuri kufika ni ipi, kupitia mbeya au tabora? Asante
  7. gkasambo

    Nauza nyama ya ng'ombe kwa kupokea oda kuanzia kilo 10

    Asante kwa ushauri mkuu
  8. gkasambo

    Nauza nyama ya ng'ombe kwa kupokea oda kuanzia kilo 10

    Habari wakuu Kwa wakazi wa DAR ES SALAAM Nauza nyama ya ng'ombe kwa kupokea oda kuanzia kilo 10. Delivery free mpaka kwa mteja Malipo. mpaka mzigo unapofika kwa mteja Bei ni 7000 kwa kilo Taasisi kama shule, migahawa, hoteli na kwa mahitaji ya nyumbani karibuni tufanye kazi Napatikana...
  9. gkasambo

    Nauza nyama ya ng'ombe kwa kupokea oda kuanzia kilo 10

    Habari wakuu Kwa wakazi wa DAR ES SALAAM. Nauza nyama ya ng'ombe kwa kupokea oda kuanzia kilo 10. Delivery free mpaka kwa mteja. Malipo. mpaka mzigo unapofika kwa mteja Bei ni 7000 kwa kilo Taasisi kama shule, migahawa, hoteli na kwa mahitaji ya nyumbani karibuni tufanye kazi Napatikana...
  10. gkasambo

    Nina leseni Class E, natafuta kazi ya udereva wa IT

    Sawa, wakuu mliokaribu na hiyo fursa mpigeni tafu kijana
  11. gkasambo

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Fungua kampuni, kata leseni zote, then tafuta tenda zinazohusina na stationary
  12. gkasambo

    Nina leseni Class E, natafuta kazi ya udereva wa IT

    Hapo unapofanya kazi hawalipi?
  13. gkasambo

    Chagueni wasio na ajira kwenye kazi za sensa

    Walimu wote wameomba hizo nafasi
Back
Top Bottom