Trendz
Senior Member
- Jun 27, 2021
- 125
- 181
Habarini ndugu zangu!
Nafikiria kuanza biashara ya ufugaji wa samaki kwa mkoa wa morogoro mjini.
Nina passion na ufugaji wa samaki sana ni kitu napenda kutoka moyoni ila najiuliza, Je masoko yanapatikana kwa urahisi? Na Je sio kazi inayofanyika na watu wengi?
Shukrani
Nafikiria kuanza biashara ya ufugaji wa samaki kwa mkoa wa morogoro mjini.
Nina passion na ufugaji wa samaki sana ni kitu napenda kutoka moyoni ila najiuliza, Je masoko yanapatikana kwa urahisi? Na Je sio kazi inayofanyika na watu wengi?
Shukrani