Sidhani kama hili linawezekana. Maana nafasi zilikuwa 294, walioitwa Oral ni 465. Sasa kama wameshindwa kupata watu 294 kati ya 465 itakuwa ajabu. Labda kama wanaongeza nafasi.
MACHO ULAYA, MASIKIO CHINA.
Umewahi kuona mtu anaangalia Tv huku anasikiliza redio? Hapo utakuta sauti ya Tv iko chini sana. Hii ina maana kuwa anapenda kutazama kinachooneshwa lakini pia hataki kupitwa na kinachotangazwa redioni. Bahati mbaya ni kwamba hauwezi kuwa unasoma gazeti, unaangalia...
Jaman mbona inafahamika kuwa vyombo vya habar vingi ni kama vimenunuliwa wakati huu,TbC star tv wako CCM itv wako kwa Lowassa tang mwanzo inafahamika kuwa Mengi yuko upande huo kwan hyo sio biasness??uktaka fairness soma Raia Mwema tu ndo iko fair
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.