,ok nashukuru kwa ushauri mkuuMkemia wa f6 wapi na wapi! Nenda lwamugasa kwenye maplant ya matajiri wa katoro utapata kazi mapema sana.
Siku "ukihila" tukutane bukengwa tugonge vitu vya mkemia
Mkuu naweza pata kazi huko nikiwa sina ujuzi wowote?Mkemia wa f6 wapi na wapi! Nenda lwamugasa kwenye maplant ya matajiri wa katoro utapata kazi mapema sana.
Siku "ukihila" tukutane bukengwa tugonge vitu vya mkemia
,thank you sisterAll the best
Hawaitaji mageologist hapo mkuu?Nipo hapa geologistOperator wa nini? Sogea hapo sengerema kuna mgodi unafunguliwa mwez wa 5 Nyanzaga
Sijajua bado maana ata mm pia nilipewa tu taarifa labda nikutumie no za HR wao uchonge naeHawaitaji mageologist hapo mkuu?Nipo hapa geologist
Mkuu naomba unitumie pia hiyo namba ya HR pm, Asante.Sijajua bado maana ata mm pua nilipewa tu taarifa labda nikutumie no za HR wao uchonge nae
Naomba namba ya HR mkuuSijajua bado maana ata mm pua nilipewa tu taarifa labda nikutumie no za HR wao uchonge nae
Kwenye plants au mialo unaweza kupataMkuu naweza pata kazi huko nikiwa sina ujuzi wowote?
Fuatilia Orecorp ndio wamilikiHawaitaji mageologist hapo mkuu?Nipo hapa geologist
Mkuu mimi ni op wa excavator, loller pamoja na whelloaderOperator wa nini? Sogea hapo sengerema kuna mgodi unafunguliwa mwez wa 5 Nyanzaga
Kuna nafas RCC wanatafta op wa rollerMkuu mimi ni op wa excavator, loller pamoja na whelloader
Naomba unisaidie namba ya HR Kaka,,nijaribu bahati upande wa mechanicsOperator wa nini? Sogea hapo sengerema kuna mgodi unafunguliwa mwez wa 5 Nyanzaga
Kazi zipi zisizohitaji professional ambazo mtu anaweza kufanya migodini?Operator wa nini? Sogea hapo sengerema kuna mgodi unafunguliwa mwez wa 5 Nyanzaga