Mmetutenga tena watu wa Bara haya mambo haya
Nafasi zakwanza zili tangazwa Kwa wa Tanzania wote iweje Leo mtuweke Bench
Nawakizingua huko lawama ni Kwa Tanzania nzima nachoka mimi
Poleni sanaa wakuu wote tunapitia changamoto japo hizi zingine mmepitia ni kiboko nashukuru sijafikia level hizo za kushinda njaa kutembea milage kubwa Kwa mguu
Lakini hope mmepiga hatua mngekua mnasema na mlipo Kwa Sasa kuwapa watu moyo wa upambanaji
Me nishakimbia nyumba ya kupanga naingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.