Recent content by girrif

  1. G

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    NMB ondoeni makato yote ya mashirika ya kifedha zinazofanyika kwenye akaunti za watu badala yake wawaelekezeni kwa waajiri. msijichukulie sheria mkononi.
  2. G

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    NMB siku hizi sijui wamekuwaje. wana uhusiano gani Shirika la bima la taifa [NIC]? wanaingiza makato ya NIC kwenye akauti za watu badala ya kuanzia kwa mwajiri
  3. G

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    naomba kuuliza kuwa kuna umeme wa grid ya taifa kv 400 ambao unaajengwa kutoka singida kwenda arusha katika njia inayopita umeme huo watu walishatathminia toka 2015 na mara mwisho mze bendera[ R.I.P] alisaini mwezi wa march 2017 na watu hao bado hawakulipwa fedha zao. je kwakuwa mpango huo...
  4. G

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

    mmmmmh. basi bwana niamini kuwa ukimwona swala hamwogopi simba ujue ni hawara yake
  5. G

    Vipi mshahara wa March tayari?

    serikali yangu kwa sasa haina pesa. labda msubiri hadi tarehe 10april nitawawekea nusu. kwani kwa sasa watu hawatoi kodi na me nategemea kodi kwahiyo kwa sasa sina hela... we piga kazi
  6. G

    Taarifa kutoka kwa Mwl Ezekiah T Oluoch Naibu Katibu Mkuu CWT

    uongozi ni karama na si ubabaishaji. mwalimu akimchagua kiongozi ujue kweli nikiongozi maana amepitia kwenye michakato mingi kwelikweli. sasa wakati ubapotangaza mgororo na upande wa pili lazima utafakari kwa kina madhara na faida yake. na unapotangaza mgogoro na upande wa pili ujue kuna hatua...
  7. G

    Wakristo wenzangu hiki ni kipindi cha Kwaresma unategemea kubadilisha nini katika maisha yako

    kipindi cha kujinyima vitu vyote vya matamanio tujue kuwa kuna miziz saba ya dhambi tuziepuke.
  8. G

    Taarifa kutoka kwa Mwl Ezekiah T Oluoch Naibu Katibu Mkuu CWT

    tuwe na subra 16 so mbali. baada ya hapo ndo tutawatengeneza vizuri
  9. G

    Zitto Kabwe adai amenyetishwa na vyombo vya Usalama Bungeni kuwa atakamatwa kwa Uchochezi

    jamani lisu anatoka bungeni tu nakukamatwa. tunaenda wapi? kama serikali haitaki upinzani si ifute sheria vyama vya siasa?. ninavyojua mimi mpinzani ni mtani wako. lazima utafute.namna ya kumpiku. sasa badala ya kumpambananao kisera wanawakamata. hakuna uhuru wa.katiba
  10. G

    Ushirikishwaji wa wanaume katika huduma za Mama na Mtoto

    tatizo ni mila zetu kuwa kama unafanya kazi za mwanamke ujue tayari kashakukamata. hii nimeipenda sana
  11. G

    Kuwa 'demote' wakuu wa shule kwa sababu ya kushindwa kufaulisha ndo suluhisho?

    hivi shule hizo zitafaulishaje kama kwanza walimu wachache, fikira shule yenye kidato cha kwanza hadi nne wapo walimu watano. kitabu kimoja wanatumia wanafunzi 10. hakuna mazingira mazuri ya mwanafunzi kusomea hakuna mabweni. badala yake wanafunzi wanatembea mile nyingi kwa siku. akifika wazazi...
  12. G

    MSD ndo chanzo cha vituo vya kutolea huduma za afya kukosa dawa

    laa sasa huko ulikoenda ni mbali. msd tafadhali hizo ni data mtu anatembeanazo. tafadhali mkiri tu yaishe afu ndugu yangu toa msamaha usikute wanajiandaa kukusanya hizo dawa kipindi kijacho nahisi kama utajiweka wazi utapewa kipaumbele.
  13. G

    MSD ndo chanzo cha vituo vya kutolea huduma za afya kukosa dawa

    salio 3,980,000/ dawa zilizoombwa 2,3420,000 dawa zilizoletwa 293,500 asilimia 7.4 hawa ni majibu waziri wa afya upo wapi. msd kanda ya kaskazini ni majibu
  14. G

    MSD ndo chanzo cha vituo vya kutolea huduma za afya kukosa dawa

    kuhusu dawa za kutibu wagonjwa ambao ndo sisi . hao msd wanaleta mchezo.
Back
Top Bottom