Mtaani kuna njaa sana, kopesha hela ndogo ndogo Kwa (dhamani) zingatia dhamana maana uaminifu ni mdgo, panga riba ya % unayohtaji wengine wanatoza mpaka asilimia 80% ila mimi natoza riba ya asilimia 50% Kwa mwezi! mtaji wa milioni 3, tu unatosha Kwa mwezi utakuwa unakusanya faida tu, 1.5...
Kabisaa, ni vyemaa akaamua tu kumtumikia mungu atoe na ushuhuda namna alivyookolewa kwenye lile shambulio, hakika inasikitisha! Watz hatuko tayari kusogea mbele, akitoka atoe speech yake ya mwisho kuaga siasa, awambia watz siku wakiwa tayr kubadilika wakutane barabarani, afu akae kimya, lakini...
Iv nikuulize kitu wewe mdada, kwann hupendi kushea ni uchoyo,ubinafsi,au hofu ya kuachika,au kuogopa hela za mumeo kwenda kwa mtu mwingine! Nijibu vzr tu usinifokee!😂😂
Ulofa tu, kizuri chajiuza kibaya chajitembeza unafosi mama mashaavu akubalike, ni kama unatwanga maji kwenye kinu! watz hawamwelewi! na huwezi kilibadilisha Hilo!
Sa mtu anakutapalije kiaje an! Em acheni fikra mgando ishu ya nguruwe ni faida kuliko ata ufugaji wa kuku! may be! so jamaa kaongea kitu apo! Ila inatakiwa uwe na mzigo kuhudumia wale viumbe wanakula sana! mimi mkuu Imani rubaba siji wasap ila wazo lako ni zuri sanaa! hongera Kwa kunikumbusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.