Recent content by ginnery

  1. ginnery

    Bae niongezee hela ninunue S9+

    Wanawake wa aina hiyo wapo mm nilishaishi na mmoja kwa tamaa zake akacheat nikamuacha ssa hiv yupo yupo tu hana analiwa ovyo ovyo mwanamke asipokuwa na akili nywele za kichogoni zitaisha kwa kulalwa ovyo!
  2. ginnery

    Baada ya kugundua ana mwanaume mwingine, nimemny'ang'anya vitu vyote nilivyomnunulia

    Mimi nipo pamoja na wwe mkuu yalishanikuta hao wanaopinga jua bado hayajawakuta umuachie ili waje walalaje katika kitanda ulichonunua wwe dawa ya moto ni moto amnunulie ssa huyo anayemuona wa maana.
  3. ginnery

    Kocha Lwandamina ' mjanja ' sana ameshaziona 9 - 0 zinakuja kaamua kusepa na kijiji mapema!

    Hoja dhaifu mpira hauchezwi midomoni wwe mgoloko!
  4. ginnery

    Tetesi: Kuna kila dalili ya Mheshimiwa Charles Kitwanga kurudishwa ktk baraza la Mawaziri

    Sijawahi sikia popote huyu jamaa ni dr ndio kwanza nasikia kwako leo japo ni mbunge wa jimbo letu na mara kwa mara namuona
  5. ginnery

    Hatari Moshi! Night Club ya Black Diamond watoto wa miaka 13-16 wanajiuza ndani!

    Mnaounga hili mkono kuwa waachwe sio wazima au utoto unawasumbua mngekuwa mna watoto msingeshabikia upuuz huu au mnafikiria kwa kutumia makalio wote
  6. ginnery

    Wanamuziki wa Congo(DRC) na vituko na mikasa yao. Akina Defao, Madilu,Franco Luambo

    Hata mm nazielewa sana ila la kuliwa ndio uwa lanitia simanzi mleta uzi amepita mulemule kuhusu huyu jamaa story hizo zipo kitambo sana
  7. ginnery

    Wasafi TV siipati kwenye kingamuzi changu

    Update kingamuz chako
  8. ginnery

    Nataka kuacha kazi serikalini, LAPF watanipa fao langu la kujitoa?

    Kisheria unalipwa maana ukifikisha miaka 15 kazini unalipwa mafao yako yote muhimu upewe barua na mwajiri wako ndio utajaza fomu lapf na kuombea mafao yako bila barua andika maumivu
  9. ginnery

    Ushauri: Mke wangu kaniambia mtoto wa kwanza sio wangu na baba yake anamuhitaji

    Ushauri wangu nenda kaongee na afisa elimu mueleze tatizo lililopo na omba akuhamishe kituo cha kazi ili uwe mbali nae piga moyo konde hata ssi tumeyapitia inauma sana huyo dada muachie kila kitu kuepusha kelele wwe nenda kaanze maisha upya huyo mwanamke akupendi yupo anaempenda kwa dhati kuwa...
  10. ginnery

    Kigogo akisimamishwa kazi huendelea kukaa nyumba ya Serikali na kupata stahiki zingine zote?

    Anakosa posho ya madaraka, semina na uhuru wa kusafiri nje ya eneo la kazi hadi kibali maalum
  11. ginnery

    Je, ni sahihi mtu mwenye stashahada kumuongoza mtu wenye shahada akiwa kama bosi wake?

    Kubali hilo humu ofisin kwa taarifa yako kinachoma ni uzoefu wa kaz sio elimu unadhan mtu ana miaka 20 kazin na ana diploma wwe unaajiliwa leo una degree utamwambia nn? mambo mengi sn anayajua kuliko wwe na ndie atakufundisha wwe kazi
Back
Top Bottom