Wanawake wa aina hiyo wapo mm nilishaishi na mmoja kwa tamaa zake akacheat nikamuacha ssa hiv yupo yupo tu hana analiwa ovyo ovyo mwanamke asipokuwa na akili nywele za kichogoni zitaisha kwa kulalwa ovyo!
Mimi nipo pamoja na wwe mkuu yalishanikuta hao wanaopinga jua bado hayajawakuta umuachie ili waje walalaje katika kitanda ulichonunua wwe dawa ya moto ni moto amnunulie ssa huyo anayemuona wa maana.
Kisheria unalipwa maana ukifikisha miaka 15 kazini unalipwa mafao yako yote muhimu upewe barua na mwajiri wako ndio utajaza fomu lapf na kuombea mafao yako bila barua andika maumivu
Ushauri wangu nenda kaongee na afisa elimu mueleze tatizo lililopo na omba akuhamishe kituo cha kazi ili uwe mbali nae piga moyo konde hata ssi tumeyapitia inauma sana huyo dada muachie kila kitu kuepusha kelele wwe nenda kaanze maisha upya huyo mwanamke akupendi yupo anaempenda kwa dhati kuwa...
Kubali hilo humu ofisin kwa taarifa yako kinachoma ni uzoefu wa kaz sio elimu unadhan mtu ana miaka 20 kazin na ana diploma wwe unaajiliwa leo una degree utamwambia nn? mambo mengi sn anayajua kuliko wwe na ndie atakufundisha wwe kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.