Mambo nimesoma thread yako na mimi pia natafuta mchumba ambaye ndani ya miezi tunaweza kufanya harusi na kua mke na mume, tatizo hapo naona wewe uko Morogoro na mimi nipo Arusha . Kama kuna uwezekano ni pm.
Ni vizuri kwamba unahitaji mume mwenye vigezo fulani. Please naomba uni pm tufahamiane zaid, nitakua na sifa unazohitaji na natafuta mchumba kama wewe.
Kama ni kusudi la Mungu kunikutanisha na wewe tutakua mke na mume siku moja. Kwa ufupi mimi ni mwanaume wa miaka 35, nimeokoka na nampenda Yesu. Nimekulia kwenye familia ya Waliokoka na baba yangu ni Mchungaji. Nina Elimu ya juu , naishi Arusha na nimeajiriwa huku Arusha. Kwa ufupi naomba uni Pm...
Kama ni kusudi la Mungu kunikutanisha na wewe tutakua mke na mume siku moja. Kwa ufupi mimi ni mwanaume wa miaka 35, nimeokoka na nampenda Yesu. Nimekulia kwenye familia ya Waliokoka na baba yangu ni Mchungaji. Nina Elimu ya juu , naishi Arusha na nimeajiriwa huku Arusha. Kwa ufupi naomba uni Pm...
R.I.P mama SHELUKINDO. Pole sana rafiki yangu ROX kwa kuondokewa na mama yako mpendwa. Poleni familia yote ya mzee William Shelukindo na wananchi wote wa Kilindi.
Viwanja vinapatikana kwa bei nafuu kwa ukubwa wowote unaotaka. Vipo eneo la maji ya chai, kilometa nne toka usa river Arusha. Kuna maji ya bomba na umeme. Mita 500 toka barabara ya lami. Bei kuanzia milioni tano. Wahi mapema kabla havijaisha kwani kasi ya kununua ni kubwa. Kwa mawasiliano piga...
Viwanja vinapatina kwa bei nafuu kwa ukubwa wowote unaotaka. Vipo eneo la maji ya chai, kilometa nne toka usa river Arusha.
Kuna maji ya bomba na umeme. Mita 500 toka barabara ya lami. Bei kuanzia milioni tano. Wahi mapema kabla havijaisha kwani kasi ya kununua ni kubwa.
Kwa mawasiliano piga...
Nashukuru Mungu kukutana na wewe. Mi pia nimeshapost kuhusu kutafuta mchumba. Naomba uni Pm ili tuangalie ni kwa namna gani tunaweza kuanza safari ya kuelekea kwenye ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.