Recent content by Gilka

  1. G

    Natafuta mchumba wa kiume

    Mambo nimesoma thread yako na mimi pia natafuta mchumba ambaye ndani ya miezi tunaweza kufanya harusi na kua mke na mume, tatizo hapo naona wewe uko Morogoro na mimi nipo Arusha . Kama kuna uwezekano ni pm.
  2. G

    Natafuta mchumba wa kiume

  3. G

    Bado sijapata mchumba

    Ni vizuri kwamba unahitaji mume mwenye vigezo fulani. Please naomba uni pm tufahamiane zaid, nitakua na sifa unazohitaji na natafuta mchumba kama wewe.
  4. G

    Natafuta mchumba aliyeokoka

    Kama ni kusudi la Mungu kunikutanisha na wewe tutakua mke na mume siku moja. Kwa ufupi mimi ni mwanaume wa miaka 35, nimeokoka na nampenda Yesu. Nimekulia kwenye familia ya Waliokoka na baba yangu ni Mchungaji. Nina Elimu ya juu , naishi Arusha na nimeajiriwa huku Arusha. Kwa ufupi naomba uni Pm...
  5. G

    Natafuta mchumba aliyeokoka

    Kama ni kusudi la Mungu kunikutanisha na wewe tutakua mke na mume siku moja. Kwa ufupi mimi ni mwanaume wa miaka 35, nimeokoka na nampenda Yesu. Nimekulia kwenye familia ya Waliokoka na baba yangu ni Mchungaji. Nina Elimu ya juu , naishi Arusha na nimeajiriwa huku Arusha. Kwa ufupi naomba uni Pm...
  6. G

    TANZIA: Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo afariki dunia

    R.I.P mama SHELUKINDO. Pole sana rafiki yangu ROX kwa kuondokewa na mama yako mpendwa. Poleni familia yote ya mzee William Shelukindo na wananchi wote wa Kilindi.
  7. G

    Pata viwanja kwa bei nafuu

    cha milion tano kina ukubwa wa mita 15 kwa 15
  8. G

    Pata viwanja kwa bei nafuu

    Viwanja vinapatikana kwa bei nafuu kwa ukubwa wowote unaotaka. Vipo eneo la maji ya chai, kilometa nne toka usa river Arusha. Kuna maji ya bomba na umeme. Mita 500 toka barabara ya lami. Bei kuanzia milioni tano. Wahi mapema kabla havijaisha kwani kasi ya kununua ni kubwa. Kwa mawasiliano piga...
  9. G

    Pata viwanja kwa bei nafuu

    Viwanja vinapatina kwa bei nafuu kwa ukubwa wowote unaotaka. Vipo eneo la maji ya chai, kilometa nne toka usa river Arusha. Kuna maji ya bomba na umeme. Mita 500 toka barabara ya lami. Bei kuanzia milioni tano. Wahi mapema kabla havijaisha kwani kasi ya kununua ni kubwa. Kwa mawasiliano piga...
  10. G

    I need a male friend to chat with

    Mbona tulianza kuchati lakini baada ya siku mbili ukapotezea. Hata ile no ya whatsaap uliyonipa hutumii tena. Acha hizo Mungu hapendi.
  11. G

    I need a male friend to chat with

    Ahsante. Nina sifa ulizoainiasha na ningependa kua na rafiki mwenye sifa kama zako ambaye atakuja kua mke wangu mpendwa.
  12. G

    Matajiri, Watoto wa Mjini, Wababe na Wafanyabiashara wa Kilimanjaro na Arusha

    Hawa Kiure ni shida nasikia wana mawe sana sasa hivi. vip mzee Kiure na yeye si shida, Na mkuu hivi huyu Omari Kiure ana kampuni ya Maji ya kunywa?
  13. G

    Natafuta mwanamke aliye tayari kuolewa

    Vivac hebu tuwasiliane kwa kufahamiana zaidi.
  14. G

    Nahitaji kumpata mwanaume mwenye uhitaji na serious relation

    Nashukuru Mungu kukutana na wewe. Mi pia nimeshapost kuhusu kutafuta mchumba. Naomba uni Pm ili tuangalie ni kwa namna gani tunaweza kuanza safari ya kuelekea kwenye ndoa.
Back
Top Bottom