Recent content by gileun

  1. gileun

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya NFC(Near Field Communication) Technology

    Wakuu habari zenu? Naomba kujua endapo kuna mtu huwa anafanya malipo yake kwenye POS machines kwa kutumia simu ambayo tayari ina support matumizi ya NFC(Near Field Communication) Technology. Kwa sasa banks nyingi Tanzania zinatoa cards zenye uwezo huo lakini sina hakika kama mifumo yao...
  2. gileun

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tupeane Mikasa ya Mapenzi: Kwanini pamoja na kumnyandua kimtelezo mara kadhaa siku hizi mademu wana nguvu ya kupotezea?

    Siku hizi unatakiwa uwe na uwezo wa kumtunza pia. Hata kama unapiga show kali, endapo huwezi kumhudumia hata kwa vidogo tu basi hapo Mwanaume unakua hauna maana. Ingawa wachache wana bahati ya kugandwa hata kama hawa provide chochote. Haha
  3. gileun

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi nimerogwa, naombeni msaada

    Kinachokuuma ni huduma ulizotoa hasa hasa vitu ulivyomnunulia ambavyo anaendelea kuvitumia kwa uhuru. Ndiyo maana wengine (wenye roho ndogo) hunyang'anya kila kinachowezekana anapoamua kuachana na mwanamke ili kusiwe na chochote atakachofkiria kwamba alimfanyia mwanamke huyo na bado anaendelea...
  4. gileun

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana mna moyo, nime fake account leo nimemtongoza binti wa miaka 23, amenitukana matusi ya nguoni

    Shida umekua fasta sana, hayupo comfortable with you so lazima atukane unless kama umefupisha story yako. Utapeli mwingi sana siku hizi...[emoji23]
  5. gileun

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waha bhana,Nachukia wanaume wawili kukaa chumba kimoja.nishaulini niongeze kipi ili watengane??

    Katika vitu ambavyo ungevunga ku post ni huu upuuzi. We ni zaidi ya mchawi, maamae[emoji23]
  6. gileun

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufungua Duka la Vifaa vya Ujenzi, naombeni msaada

    Haha, sawa sawa mkuu. Ahsante sana kwa ushauri
  7. gileun

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufungua Duka la Vifaa vya Ujenzi, naombeni msaada

    Mtaji ni around 5-8 millions
  8. gileun

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufungua Duka la Vifaa vya Ujenzi, naombeni msaada

    Ahsante sana mkuu
  9. gileun

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufungua Duka la Vifaa vya Ujenzi, naombeni msaada

    Habari wakuu! Nahitaji kufungua duka la vifaa vya ujenzi hapa Dar es Salaam, sasa naomba kwa anaefahamu jinsi ya kuwapata mawakala wanaosambaza vifaa vya ujenzi baada ya kuagiza toka nje ya Tanzania anisaidie namna ya kuwapata. Au hata kama kuna namna ya kuwa naagiza vifaa hivyo toka nje ya...
  10. gileun

    JamiiForums Tanzania Je unampenda mpenzi au mume wako?

    Kuwa makini usichizike kwa utamu, [emoji28][emoji28]
  11. gileun

    JamiiForums Tanzania Je unampenda mpenzi au mume wako?

    Sana, mara chache sana Gs huwa zinazingua. Tuendelee kuwa vinara
  12. gileun

    JamiiForums Tanzania Je unampenda mpenzi au mume wako?

    Hii G sasa nikahisi mimi ndo nimeambiwa...[emoji23]
  13. gileun

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

    [emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom