Rea ndo nn haya ni maneno ya wanakijiji huko arusha nasikitika kwa mbunge wa arumeru bw nassari kushindwa hata kulipigania jimbo lake kupata nishati kiukwel watanzania tumeshindwa kiongozi bora au uropokaji bora ndio maendeleo nasikitika sana amna mzuri kwenye hii serekali
Harakati ndani ya chama cha mapinduzi CCM kumpendekeza mbunge mtarajiwa wa Serekali ya awamu ya tano kiukweli hali si nzuri kwa pande zote mbili ndani ya chama, huku wagonbea wakizidi kumiminika wapo akina Hancy Mmasy.
Sasa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Moshi bw Moris Makoy anaonekana nae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.