CCM waaibika Iringa

CCM waaibika Iringa

Hili la Mahakama ya kadhi limechangia sana,
Na pia walijigawa wengine waende karimjee kwenye Uzinduzi wa tawi lao Act,tusubiri Mwakalebela atawaita tena,akiwa na Mzee wa fisi
 
Mwakalebela hongera sana kwa "maelfu" ya watu waliojitokeza leo dhidi ya "mamia" waliojitokeza jana kwenye mkutano wa CHADEMA. Kidumu chama cha mapinduzi... hakika nimeamini chama chashika hatamu.!
Ilikuwa uwanja huo huo?
 
Siku ya uchaguzi ndipo tutaelewana

Tulishaelewa kilichobaki ushindi na kushika dola...ninyi ni historia kama KANU. Msitegemee ushindi wa kusaidiwa na polisi kuiba kura na wakurugenzi kutanganza matokeo kinyume.
 
CCM ciuwa wanaletaga watu kwenye magariii au walikosa watu nn? Mm ciwangeleta zile fisiiii
 
sijaona picha ya mkutano au ndo kumaanisha Hamna watu ? hats fisi na Mbweha hawakuepo ,
mkae sawa naskia wanampango wa kuhamisha mbuga ya wanyama kila panapofanyika mkutano maana Chadema mmekataza wanachama was Fisiemu kuhudhuria mikutano
 
attachment.php
 
Chama cha kuzuia ukatili wa wanyama naamini kinafanya kazi kwa bidii. Yale mafisi ya ccm mmeyaweka huru??? Yalikuwa yanapelekwa katika mikutano utadhani ndo mgeni wa hishima!
Wamebaki na mbinu ya Mwingulu, ila amewarizevu kwa ajili ya kampeni yake mwenyewe. Ni wale wa tindi kali. Poleni sana maccm.
Iringa wamegoma baada ya yale mabomu sasa tunangojea Misungwiiiiii. Jimalizeni wenyewe tu, Oktoba UKAWA hawana haja ya kampeini
 
hongra msigwa kwa kulea vijana wako wa bavicha,tumeona matunda yako .m/kiti MATO .katibu LEAH MLELEU .katibu mwenezi na uhamsishaji OSCAR MGAYA hii ndio timu ya Bavicha iringa mjini.iliyofanya leo ccm wameshindwa kusomba watu toka nje mji .ccm hooiiii
 
Elee uwiiiiiiiii ! toa toa haraka aibu hii ! na ni kakurusu kuweka hii picha hapa JF tena jifiche mbali usilale kwako Leo utatafutwa


umechafua ramani ya kuelekea uchaguzi wewe!!!! kabila gani huna huruma na woga.
 
Fisi walikupe hapo kwa ccm??
 

Attachments

  • 1427656258907.jpg
    1427656258907.jpg
    40.6 KB · Views: 461
RC & DC lazima chama changu kiwachukulie hatua Kali ikiwezekana hata kuwaamisha au kufukuza kabisa! Yaani wamekubali ccm ihaibike kiasi hiki!? Kwa nini hawakuwaleta wanafunzi wa shule zote hapo Iringa!? Walimu wote!? Hili jambo lazima mwenyekiti wetu Kikwete awachukulie hatua! Polisi kwa nini hawakwenda wote, waliovalia magwanda na wale wasio vaa!? Haiwezekani chama changu kiaibike kiasi hiki!?
Lazima washitakiwe. Kwanini wanajua kuwa Chadema hatuwawezi alafu wakasahau hata kuleta mafisi ili angalao watu waje kuwaangalia alafu ndipo wamwage sera?
 
RC & DC lazima chama changu kiwachukulie hatua Kali ikiwezekana hata kuwaamisha au kufukuza kabisa! Yaani wamekubali ccm ihaibike kiasi hiki!? Kwa nini hawakuwaleta wanafunzi wa shule zote hapo Iringa!? Walimu wote!? Hili jambo lazima mwenyekiti wetu Kikwete awachukulie hatua! Polisi kwa nini hawakwenda wote, waliovalia magwanda na wale wasio vaa!? Haiwezekani chama changu kiaibike kiasi hiki!?

Mmeshaambiwa shule za sekondari za serikali zinafungwa kwa kukosa chakula mnataka waje vipi hapo na njaa zao? Haki ya nani ccm imefika mwisho na imebaki tuu kutangaza kuwa TUNAKUBALI YAISHE.
 
Back
Top Bottom