Kwani wwe upo mkoa gani broo,kuhusu utaratibu wa mkopo wa (YDF) youth dev,fund ni kama ifuatavyo: kwz lazimu muunde kikundi cha watu 5 na kuendelea,lazima muisajili kwa msajili wa community based organ,lazima muwe na katiba ya kikundi, uongozi wa kikundi ie m/kiti,katibu, mhasibu na...