Kama ambavyo tunafahamu adha ya USAFIRI kipindi hichi cha sikukuu .
Naomba mwenye USAFIRI binafsi kesho KWENDA kutoka Dar es salaam kwenda morogoro ,anipe lifti nipo na wife ,nitachangia hela ya mafuta kama nauli YANGU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikiliza na kuangalia kazi yake youtube hakika amefanya kitu kikubwa hasa ujumbe wake,sauti nzuri na mpangilio mzuri wa vyombo (hongera kwa producer)
Video kafanya kwetu studios na msafiri nadhani, kwa wimbo wa kwanza kuanza hivi ni hatua sana na umeupa umeongeza thamani na "challenge"...
Nilipata ajali nikavunjika mguu,niliwekewa chuma mguuni ,wakati wa kutolewa nyuzi sehemu ya goti palifumuka pakawa kama kidonda ,nikaambiwa patafunga ,lakini nimeuguza muda sasa karibu mwaka na miezi kadhaa.
Kila nikirudi hospitali napewa dawa za kusafisha na kupaka lakini tatizo bado liko...
Wakuu simu Yangu tecno c5 nikitaka kupakua app. Yoyote inaniambia haina nafasi ya kutosha ilihali external memory ni kubwa na ina nafasi pia ndio nimeiset kuhifadhi vitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.