Anaham yakuchapwa vitu vyake uyo we utamtafutaje mtu from no where? Unajikuta tuu c o hostel iyo km unataka c upange rum moja au mbili mbn unaweza kulipa rent' c utakutana na jiran wengine apo
Usiishie humu jf tu nenda kanisan pia mmnampenda sn baba kuliko mama maana baba alinilea tng utoto nikiwa na miaka mitatu si kwamba nama alitangulia mbele za haki Nope bali aliamua kwenda zake kujichagulia maisha ayatakayo kisa tu baba alipata matatizo kazin til nw cna mapnz namama kbsaa
Mi nakumbuka aliwahi kumponda mume wake kuhusu drugs ss nayeye kumbe alinogewa et? Pesa bhana mbaya saaana na ht alikua anasema ye anavaa vitu vya dola Na kujiita Boss Lady.nilikua najiuliza alipata wapi kaz huku nakumbuka alikua anaishi BUGURUN maeneo ya Rozana kwa chini enz za nyuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.