Mkurugenzi wa Manispaa kimeo, yaani papara nyingi, pirika nyingi kama mchwa anachokifanya hamna kitu. Pia Huyo Waziri wa Ardhi naye ni miongoni mwa mapapa waliojimegea viwanja katika maeneo mengi ya wazi hapa mjini. Kuna afisa ardhi mmoja hapo, yaani ukienda ofini kwake akuandikie bill ili...
Sasa kumbe mtu humfahamu ki-hivyo bado unaponda. Shida sana. Nakushauri acha kumfuatilia kwenye platform yake yyt ile, utakuwa salama otherwise atakuumiza sana roho.
Kwa kigezo cha GPA sidhani, wasiwasi wangu ni kwenye ujaza wa application forms Je ulitimiza kila kilichotakiwa? Jingine usikate tamaa huenda kuna batches nyingine zinakuja.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.