Upinzani hauwezi kuisha.kwani Yule kijana iliye jiua kwa kujichoma kwa moto pale kulikuwa na chama cha Upinzani.Upinzani uko moyoni ikigoma njia ya vyama Mungu ataleta njia nyingine ya ukombozi
tatizo si kuwa umeruhusiwa kuoa wangapi tatizo ni moyo.hata walio ruhusiwa kwa mujubu wa imani yao bado wana michepuko.nikupe pole sana kwa mtazamo usio sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.