ulipo wewe umeshaliwa mara ngapi???....angalia channel 10 leo saa 2 usiku halafu urudi hapa na akili zako za kupewa...
kama upo dar jumapili hii tar3 atakua hapo kawe viwanja vya tanganyika parkers..
Wakuu hivi ukuiwa mtumishi wa Mungu unatakiwa kua masikinii!????
kama ndivyo basi biblia haina maana kutuambia Mungu aliwabarik kina suleiman,Yusuph n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.