Recent content by gibasisi

  1. G

    Kwanini migodi ya mkoa wa Mara watu wanauliwa sana kuzidi migodi ya mikoa mingine ?

    Jana jioni nikapita jirani na mgodi wa North mara kulikuwa na kusanyiko kubwa sana la watu kwa mbali pia niliona polisi wengi juu ya mawe ya mzungu mara ghafla nikakutana na watu wawili mume na mke wakiwa ktk pikipiki huku wakilia wote kwa uchungu mkubwa..tukagundua na mwenzangu kuwa huenda...
  2. G

    King'amzi changu cha AZAM kinaonesha channel za Startimes

    Kama ni cha dish nakupa majibu kitaalam ,kwamba azam wapo nyuzi 7 eutelsat7c na startimes wapo nyuzi 5 ses5 kwa hiyo dish linapokuwa limekaa muda mrefu kutokana na changamoto za upepo inetegemea dish lako lilifungwa na fundi au kishoka,dish likilegea lazima litainama kidogo na kuinama...
  3. G

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Solar Watts 100 ,battery Rita n100 nilitumia miaka 7 likafa,mwaka huu nimenunua Rita n100 naendelea kula maisha.situmii charger controller maana betri halijai
  4. G

    Azam CamCard

    Camcad nilinunua 145000 wakati ule azam zikiuzwa bei juu sijui kama zimeshuka au la
  5. G

    Simu ya mkopo imepotea. Naipataje?

    Nenda kakope nyingine maana wakopeshaji wamejaa mno
  6. G

    Wapi Wanauza Power bank za uhakika?

    Oraimo 27000 mah ni kiboko
  7. G

    Je africa sattelite inahusu chanel za bure kwene ving’amuzi?

    Receiver zipo aina mbalimbali na bei tofauti,mfano juzi kati nimenunua mediastar 4030 pro kwa 300k,ni bonge la decoder.ingia Google utapata sifa zake hapa nitajaza ukurasa kuielezea.ninachokipata kwa dekoda hii hata hawa akina azam naona kama uchaf tu.
  8. G

    Wataalam wa umeme wa solar nisaidieni hapa

    Matumizi ya kawaida soar Watts 100 ,betri Rita au prosola n100 ,invator ya kusuka/kuchonga Watts 300 hapo utafurahia maisha ya sola
  9. G

    Dar es Salaam ni mji wa kawaida ila unakuzwa sana

    Huyu mshamba tu kama wengine unaidharau Dar kwa lipi sasa
  10. G

    Msaada: Jinsi ya kupata channel za local kama ITV,EATV TBC etc Kwenye king'amuzi cha startimes

    Hivi bado kuna watu wananunua king'amuzi cha startimes,kweli tupo tofauti sana
Back
Top Bottom