Jana jioni nikapita jirani na mgodi wa North mara kulikuwa na kusanyiko kubwa sana la watu kwa mbali pia niliona polisi wengi juu ya mawe ya mzungu mara ghafla nikakutana na watu wawili mume na mke wakiwa ktk pikipiki huku wakilia wote kwa uchungu mkubwa..tukagundua na mwenzangu kuwa huenda...
Kama ni cha dish nakupa majibu kitaalam ,kwamba azam wapo nyuzi 7 eutelsat7c na startimes wapo nyuzi 5 ses5 kwa hiyo dish linapokuwa limekaa muda mrefu kutokana na changamoto za upepo inetegemea dish lako lilifungwa na fundi au kishoka,dish likilegea lazima litainama kidogo na kuinama...
Receiver zipo aina mbalimbali na bei tofauti,mfano juzi kati nimenunua mediastar 4030 pro kwa 300k,ni bonge la decoder.ingia Google utapata sifa zake hapa nitajaza ukurasa kuielezea.ninachokipata kwa dekoda hii hata hawa akina azam naona kama uchaf tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.