Mimi mwenyewe nlishawahi kuwaza hivyo ...Kwamba kuwe hata na Kampuny Shindani ya Umeme sio TANESCO peke yao ...kwasababu hawana sifa ya kukidhi mahitaji ya kitaifa.
Serikali itoe Fursa kwa Kampuni hata kama ni Binafsi !
Kunatakiwa kuwe na Ushindani wa kihuduma kwenye hii Secta .
La sivyo Hawa...
Mimi Ujumbe wangu kwa Tanesco ni Kwamba inaonesha shirika limewashinda tu !
How come wenzetu teknolojia zimekuwa na nyinyi hamuendi Ku Acquire knowledge...yaani mpaka hatuelewi Mvua zote hizi zilizonyesha na Still Umeme unakatika kifalafala Kila Siku na ni aibu kwa Mji kama Dar es salaam tena...
Ndio hivyo tu naheshimu Uzi wa Insider nisije nikamharibia kwa Maongezi tofauti.
Sijui nikuanzishie Uzi nikuvutie pembeni huku nikushughulikie vizuri[emoji848]
Acha kupotosha Umma kwa ufinyu wako wa Maarifa.
Mungu mwenyewe muumba wa mbingu na vyote vilivyomo ameamuru kwenye Vitabu vyake vitukufu Juu ya Waume kuoa zaidi ya mke Mmoja isipokuwa tu kwa kuzingatia taratibu za kiuadilifu.
Halafu hizo takwimu zako unazotoa hazina uhalisia ni Unataka...
Jaribu kuandika Qur'an Yako mkuu halafu tuone hizo fictions unazosema.
Qur'an Kuna mpaka kipimo Cha uzito wa maneno .....Kafuatilie Elimu ya Abjadi na Siri zake!
Wacha kuropokwa usiyoyajua kufurahisha Genge tu!
No One Can Manipulate Qur'an ni kitabu nje ya Upeo wa Binaadam na Viumbe wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.