Ndugu inaonekana uliweka matumaini makubwa mnoo kwenye hizi post.(wenzako hatufanyi hivyo)Alafu kusoma chuo cha kodi haina maana waliosoma vyuo vyengine unawazidi academically kwenye hio kodi na pia haina maana lazima uajiriwe TRA relax.
Hii ndio maana ya interview Kuna watakaopita na...
kuna siku nilikua natoka Dar to Sumbawanga, nilikua na newforce golden deer.
ile show niliyoishuhudia wakimwagiana moto na ile BUL[emoji1373][emoji1373].
kama lingetokea la kutokea hakuna jiwe lingesalia.
sema Majinga kawekeza sana kwenye mambio lakini sio usafi na starehe wakati wa safari.
Azam hata akionyesha Epl hataweza kushindana na Dstv sababu ni ndogo sana.
Management and Technology. Azam hawako serious hapa. Tena hasa tukija kwenye swala la customer care services na quality ya channels zao.Tukumbuke watu wengi now wana TV zenye technology kubwa.
Dstv ni ghali lakini...
Naunga mkono hoja mzee.
Akili inahitajika sana bila kusahau uwazi pia.
Mtoa mada inawezekana bado hajaona pisi inahudumia mwamba ambae bado ana hustle kusaka mpunga.
Kwenye mapenzi 1+1 jibu sio lazima liwe2 [emoji3577]
Sio kwamba tunapenda kuishia getini.
Siku hizi ukifika tu kama huna appointment na muhusika wa office husika unajulikana shida yako ni kulilia kazi.
Na ukiongopa kama unaenda mfano kwa HR, utaulizwa majina yako matatu na palepale anapigiwa simu. Hii imeshanikuta.
So kupunguza usumbufu...
Kuna hawa wa bodaboda,
Huwa hawajui kusubiri.
Wanapenda kujichomeka katikati na kupita na side mirror zetu.
Hawa wako radhi chombo chake kitembee bila breki lakini honi iwepo.
Gari nyingi hasa Dar zina mikwaruzo ya kuchubuka rangi kisa ni hawa vijana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.